Niliyoyasema kuhusu Yanga SC yetu mlidhani ' natania ' na hatimaye sasa ' Kimenuka ' rasmi huko na kuna ' Mgogoro ' mkubwa sana

Niliyoyasema kuhusu Yanga SC yetu mlidhani ' natania ' na hatimaye sasa ' Kimenuka ' rasmi huko na kuna ' Mgogoro ' mkubwa sana

Nakumbuka hapa hapa niliwahi Kuwaasa Wanachama Wenzangu wa Yanga SC kuwa kama kuna Mwaka ambao tumechagua Viongozi ' Wabovu ' na ambao niliwaambieni kabisa kuwa Mmoja wao ambaye ni Mwenyekiti Wetu ni ' Kibaraka ' wa Timu bora kwa sasa Afrika Mashariki kama si Afrika ya Simba SC basi ni huu Watu mkadhani An Eagle nilikuwa ' natania ' wakati kumbe ni kweli Mimi ni Ndege Tai ambaye naona kule ambako wengi Wenu hamuwezi Kuona.

Sasa yametimia ambapo kuanzia Jana kuna ' Mtafaruku ' mkubwa ulitokea Klabuni huku Wanachama wa Yanga SC yetu wakiwa hawamtaki Mwenyekiti wetu kwakuwa ni mwana Simba SC hasa. Ni jana hiyo hiyo kuna Mwanachama Mmoja maarufu na Komandoo wa Klabu ya Yanga alisambaza taarifa yake Mitandaoni na bahati nzuri hata Efm Kipindi cha Michezo cha Usiku waliruka nayo ambapo alitoa Shutuma Kali na Nzito kuihusu Yanga SC yangu / yetu na huku akielekeza Makombora yake kwa Mwenyekiti wetu.

Baadhi ya Shutuma zake ni zifuatazo:

1. Mwenyekiti anatumiwa na Mahasimu wetu Simba SC kutuumiza Yanga SC
2. Mwenyekiti hapatani na Makamu Mwenyekiti wake hasa katika suala zima la Kumpata Katibu Mkuu wa Yanga SC
3. Mwenyekiti amechelewesha Posho na Mishahara ya baadhi ya Wachezaji
4. Mwenyekiti analaumiwa kwa Kuwapendelea mno Wachezaji wageni na akiwadharau wazawa / wenyeji
5. Mwenyekiti hapatani na baadhi ya Wajumbe na kwamba Mwezi December mwaka huu Wajumbe Wanne wanajiuzuru
6. Mwenyekiti hataki Kocha Zahera afukuzwe wakati wana Yanga SC wote hadi Mimi An Eagle tumeshamchoka
7. Mwenyekiti hatulii / hakai Ofisini na Yeye kila mara ni Kusafiri tu huku akiponda raha na Pesa zetu wana Yanga SC

Mwishoni akasema kuwa kuna Mpango / Mkakati ambao Mwenyekiti wetu anahusika nao moja kwa moja ambao ni Kuifanya Yanga SC ipoteze Michezo ama Minne au Sita ili Kuchwa na Simba SC kwa Alama ( Points ) 18 kisha alipwe chake na azidi Kula zake Maisha huku akijiandaa Kugombea Ubunge mwakani katika Mkoa anaokubalika ulio jirani na Dar es Salaam kama nia yake ilivyo.

Kwa mliokuwepo Klabuni jana nadhani mliona jinsi Wanachama / Mashabiki Wenzetu wa Yanga SC wasiopenda Ujinga na Upumbavu walivyokuwa ' wamefura / wamekasirika ' kiasi cha Kuanza Kutukana Matusi ya Nguoni na yote wakiyaelekeza kwa Mwenyekiti na Kocha wetu ' Mbovu ' na asiyejua ' Kuvaa ' Mwinyi Zahera na kama isingekuwa juhudi zangu Mimi An Eagle ( Mwana Yanga SC Kindakindaki kabisa ) Kuwatuliza huku nikisaidiana na baadhi ya Watu wa ndani kabisa tunaoijua Yanga SC yetu huenda lile Jengo letu jana lingechomwa Moto au hata dhahama Kubwa kutokea.

Wana Yanga SC Wenzangu leo ' tugomeni ' kabisa tusiende Uwanjani ili ' tushinikize ' Mwenyekiti wetu ' ang'oke ' kwani kama akiendelea Kuwepo basi Mechi zetu zote Mbili na Simba SC ( tena hii ya sasa ambayo ipo vizuri kila Idara ) tunaweza Kufungwa Goli 7 kwa 0 kwa Kila mechi. Na Wachezaji kama akina Sidney, Molinga, Balinya, Sibomana na Bigirimana wala hawatufai kabisa kwani ni ' Wabovu ' na kama tutaona inafaa basi wana Yanga SC Wenzangu tusiwe tunaona Aibu kuwaomba Simba SC ' watuazime ' Wachezaji wao kama akina Mkude, Ajib, Ndemla, Muzamiru au Dilunga ili watusaidie nasi tuweze angalau Kushinda mechi zetu za Ligi kwani ni aibu kwa Timu yetu hadi leo imecheza Michezo Miwili tu tuna Alama ( Point ) Moja tu wakati wao Simba SC wameshacheza Michezo yao Minne na wana Alama ( Points ) zao 12 Kibindoni.

Wana Yanga SC Wenzangu msiponisikiliza Mimi An Eagle katika hili leo hii hii nahamia zangu rasmi Simba Sports Club.

Yaani Dr. Msola ni Simba???!!! tangu lini?? Mimi nimecheza naye mpira enzi hizo za ujana wetu...ni Yanga lia lia...Tangu lini amehamia Simba....Huu ni uzushi wa kutisha kabisa..
 
Yaani Dr. Msola ni Simba???!!! tangu lini?? Mimi nimecheza naye mpira enzi hizo za ujana wetu...ni Yanga lia lia...Tangu lini amehamia Simba....Huu ni uzushi wa kutisha kabisa..

Kama Wewe umecheza nae Mimi Mtoto wake Mmoja ni Rafiki yangu mkubwa sana na huwa naenda mno Kwao kama kuna Timu ambayo Mwenyekiti wetu anaipenda nchini Tanzania ni Simba SC na kama kuna Timu asiyoipenda basi ni hii hii yetu ya Yanga SC na amegombea mwaka huu ili ajijenge, ajitengenezee Jina na Mwakani atajiuzuru Uenyekiti wake ili akagombee Ubunge kwani ameshahaidiwa Nafasi kama si ya Uwaziri basi ni Unaibu Waziri wa Michezo au Wizara ya Elimu kwani hata Yeye pia ni ' Mwanazuoni ' mzuri tu.

Wana Yanga SC Wenzangu tusikubali Mwenyekiti wetu ni Simba SC na kama msiponisikiliza Mimi nahamia leo leo Simba SC.
 
Kama Wewe umecheza nae Mimi Mtoto wake Mmoja ni Rafiki yangu mkubwa sana na huwa naenda mno Kwao kama kuna Timu ambayo Mwenyekiti wetu anaipenda nchini Tanzania ni Simba SC na kama kuna Timu asiyoipenda basi ni hii hii yetu ya Yanga SC na amegombea mwaka huu ili ajijenge, ajitengenezee Jina na Mwakani atajiuzuru Uenyekiti wake ili akagombee Ubunge kwani ameshahaidiwa Nafasi kama si ya Uwaziri basi ni Unaibu Waziri wa Michezo au Wizara ya Elimu kwani hata Yeye pia ni ' Mwanazuoni ' mzuri tu.

Wana Yanga SC Wenzangu tusikubali Mwenyekiti wetu ni Simba SC na kama msiponisikiliza Mimi nahamia leo leo Simba SC.

Ulichokiandika hapa ni uzushi wa kutisha kabisa...Sitaki kuendelea kulijadili hili kwani Dr. Msola namfahamu na ni mtu wa karibu kwa kiwango fulani...na huwa nawasiliana naye mara kwa mara na kwa miaka mingi...Ulicchokiweka hapa ni uzushi na uchochezi pamoja...Dr. Msola siyo Simba na hawezi kuwa Simba hata siku moja...Ila wewe nadhani ni Simba, kwani nyie Simba kwa fitina hamjambo...
 
Wewe ni mtu baki kwa yangà, hata uvae pinki au uchi hamna atakayejali...kama nyekundu freshi kwa uongozi msigepigia kelele nembo ya voda.
Hii rangi aliyovaa msolla, ndio itamtoa madarakni.
Bado mzee akilimali ajamuona na nyekundu.
Hizo story za vijiwe vya kahawa tu
 
Ulichokiandika hapa ni uzushi wa kutisha kabisa...Sitaki kuendelea kulijadili hili kwani Dr. Msola namfahamu na ni mtu wa karibu kwa kiwango fulani...na huwa nawasiliana naye mara kwa mara na kwa miaka mingi...Ulicchokiweka hapa ni uzushi na uchochezi pamoja...Dr. Msola siyo Simba na hawezi kuwa Simba hata siku moja...Ila wewe nadhani ni Simba, kwani nyie Simba kwa fitina hamjambo...

Basi labda amekudanganya tu Wewe Rafiki yake Mkubwa ila amini maneno yangu kuwa Mwenyekiti Wetu ni Simba SC kabisa na nakumbuka hata tulipofungwa zile Goli 5 na Simba SC Yeye na yule Mwana Yanga SC Mwandamizi atokaye Mkoa wa Mbeya mwenye Majina yenye ' initials ' za FMK ndiyo walichangia ' Kutuhujumu ' na mpaka tukaaibika vile. Wakati ukisema Yeye ni Yanga SC ila kila mara huwa anakuwa karibu na Viongozi wa Simba SC na anapenda mno kuwa nao hata kuliko hawa Wetu wa Yanga SC. Nasema tena kama Sisi wana Yanga SC hatutamng'oa haraka Mwenyekiti Mimi leo hii hii baada ya Kutoka Sare na Coastal Union au Kufungwa nao nahamia rasmi Simba Sports Club kwani nimechoka Kuteseka na Kuumia.
 
Mbona hukusema haya mwanzoni wakati wa uchaguzi,huu ni unafiki wa kiwango cha juu sana,kama vp nawewe hamia simba
Kama Wewe umecheza nae Mimi Mtoto wake Mmoja ni Rafiki yangu mkubwa sana na huwa naenda mno Kwao kama kuna Timu ambayo Mwenyekiti wetu anaipenda nchini Tanzania ni Simba SC na kama kuna Timu asiyoipenda basi ni hii hii yetu ya Yanga SC na amegombea mwaka huu ili ajijenge, ajitengenezee Jina na Mwakani atajiuzuru Uenyekiti wake ili akagombee Ubunge kwani ameshahaidiwa Nafasi kama si ya Uwaziri basi ni Unaibu Waziri wa Michezo au Wizara ya Elimu kwani hata Yeye pia ni ' Mwanazuoni ' mzuri tu.

Wana Yanga SC Wenzangu tusikubali Mwenyekiti wetu ni Simba SC na kama msiponisikiliza Mimi nahamia leo leo Simba SC.
 
Mbona hukusema haya mwanzoni wakati wa uchaguzi,huu ni unafiki wa kiwango cha juu sana,kama vp nawewe hamia simba

Ndiyo kama leo tukitoka tu Sare na Coastal Union au tukifungwa nao kama ' nilivyooteshwa ' na Mizimu ya Jangwani basi nahamia rasmi kwa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club kwani naona kule ndiko ' Kumenoga ' hasa huku Kwetu Sisi huku Yanga SC kukiwa ni ' Baridi ' sana.
 
Basi labda amekudanganya tu Wewe Rafiki yake Mkubwa ila amini maneno yangu kuwa Mwenyekiti Wetu ni Simba SC kabisa na nakumbuka hata tulipofungwa zile Goli 5 na Simba SC Yeye na yule Mwana Yanga SC Mwandamizi atokaye Mkoa wa Mbeya mwenye Majina yenye ' initials ' za FMK ndiyo walichangia ' Kutuhujumu ' na mpaka tukaaibika vile. Wakati ukisema Yeye ni Yanga SC ila kila mara huwa anakuwa karibu na Viongozi wa Simba SC na anapenda mno kuwa nao hata kuliko hawa Wetu wa Yanga SC. Nasema tena kama Sisi wana Yanga SC hatutamng'oa haraka Mwenyekiti Mimi leo hii hii baada ya Kutoka Sare na Coastal Union au Kufungwa nao nahamia rasmi Simba Sports Club kwani nimechoka Kuteseka na Kuumia.

Hujui kitu kuhusu Dr. Msola...Hujui kitu kabisa...
 
All in all, Yanga tunahitaji ushindi kwa namna yoyote ile. Mambo ya kufungwa hovyo hovyo, na sare dhidi ya timu ndogo, hayaleti picha nzuri kwa timu kubwa na kongwe kama Yanga.
Tumeshachukuwa point 3 muhimu kwa coast wachawi wote including muanzisha Uzi kajinyongeni.
 
Nakumbuka hapa hapa niliwahi Kuwaasa Wanachama Wenzangu wa Yanga SC kuwa kama kuna Mwaka ambao tumechagua Viongozi ' Wabovu ' na ambao niliwaambieni kabisa kuwa Mmoja wao ambaye ni Mwenyekiti Wetu ni ' Kibaraka ' wa Timu bora kwa sasa Afrika Mashariki kama si Afrika ya Simba SC basi ni huu Watu mkadhani An Eagle nilikuwa ' natania ' wakati kumbe ni kweli Mimi ni Ndege Tai ambaye naona kule ambako wengi Wenu hamuwezi Kuona.

Sasa yametimia ambapo kuanzia Jana kuna ' Mtafaruku ' mkubwa ulitokea Klabuni huku Wanachama wa Yanga SC yetu wakiwa hawamtaki Mwenyekiti wetu kwakuwa ni mwana Simba SC hasa. Ni jana hiyo hiyo kuna Mwanachama Mmoja maarufu na Komandoo wa Klabu ya Yanga alisambaza taarifa yake Mitandaoni na bahati nzuri hata Efm Kipindi cha Michezo cha Usiku waliruka nayo ambapo alitoa Shutuma Kali na Nzito kuihusu Yanga SC yangu / yetu na huku akielekeza Makombora yake kwa Mwenyekiti wetu.

Baadhi ya Shutuma zake ni zifuatazo:

1. Mwenyekiti anatumiwa na Mahasimu wetu Simba SC kutuumiza Yanga SC
2. Mwenyekiti hapatani na Makamu Mwenyekiti wake hasa katika suala zima la Kumpata Katibu Mkuu wa Yanga SC
3. Mwenyekiti amechelewesha Posho na Mishahara ya baadhi ya Wachezaji
4. Mwenyekiti analaumiwa kwa Kuwapendelea mno Wachezaji wageni na akiwadharau wazawa / wenyeji
5. Mwenyekiti hapatani na baadhi ya Wajumbe na kwamba Mwezi December mwaka huu Wajumbe Wanne wanajiuzuru
6. Mwenyekiti hataki Kocha Zahera afukuzwe wakati wana Yanga SC wote hadi Mimi An Eagle tumeshamchoka
7. Mwenyekiti hatulii / hakai Ofisini na Yeye kila mara ni Kusafiri tu huku akiponda raha na Pesa zetu wana Yanga SC

Mwishoni akasema kuwa kuna Mpango / Mkakati ambao Mwenyekiti wetu anahusika nao moja kwa moja ambao ni Kuifanya Yanga SC ipoteze Michezo ama Minne au Sita ili Kuchwa na Simba SC kwa Alama ( Points ) 18 kisha alipwe chake na azidi Kula zake Maisha huku akijiandaa Kugombea Ubunge mwakani katika Mkoa anaokubalika ulio jirani na Dar es Salaam kama nia yake ilivyo.

Kwa mliokuwepo Klabuni jana nadhani mliona jinsi Wanachama / Mashabiki Wenzetu wa Yanga SC wasiopenda Ujinga na Upumbavu walivyokuwa ' wamefura / wamekasirika ' kiasi cha Kuanza Kutukana Matusi ya Nguoni na yote wakiyaelekeza kwa Mwenyekiti na Kocha wetu ' Mbovu ' na asiyejua ' Kuvaa ' Mwinyi Zahera na kama isingekuwa juhudi zangu Mimi An Eagle ( Mwana Yanga SC Kindakindaki kabisa ) Kuwatuliza huku nikisaidiana na baadhi ya Watu wa ndani kabisa tunaoijua Yanga SC yetu huenda lile Jengo letu jana lingechomwa Moto au hata dhahama Kubwa kutokea.

Wana Yanga SC Wenzangu leo ' tugomeni ' kabisa tusiende Uwanjani ili ' tushinikize ' Mwenyekiti wetu ' ang'oke ' kwani kama akiendelea Kuwepo basi Mechi zetu zote Mbili na Simba SC ( tena hii ya sasa ambayo ipo vizuri kila Idara ) tunaweza Kufungwa Goli 7 kwa 0 kwa Kila mechi. Na Wachezaji kama akina Sidney, Molinga, Balinya, Sibomana na Bigirimana wala hawatufai kabisa kwani ni ' Wabovu ' na kama tutaona inafaa basi wana Yanga SC Wenzangu tusiwe tunaona Aibu kuwaomba Simba SC ' watuazime ' Wachezaji wao kama akina Mkude, Ajib, Ndemla, Muzamiru au Dilunga ili watusaidie nasi tuweze angalau Kushinda mechi zetu za Ligi kwani ni aibu kwa Timu yetu hadi leo imecheza Michezo Miwili tu tuna Alama ( Point ) Moja tu wakati wao Simba SC wameshacheza Michezo yao Minne na wana Alama ( Points ) zao 12 Kibindoni.

Wana Yanga SC Wenzangu msiponisikiliza Mimi An Eagle katika hili leo hii hii nahamia zangu rasmi Simba Sports Club.
Yanga kuna wajinga wengi!
 
Je, Ndugu ni kweli kwamba Yanga SC yetu ina Wapuuzi wengi kama alivyosema Mwenyekiti wetu? Mimi kwa Kauli hii najiandaa Kuhamia rasmi Simba Sports Club kwani wana Yanga SC tumedhalilishwa mno.
Ndio mwenyekiti wenu rage alisema mambumbumbu na popoma kama wewe mmejaa sana pale mikia fc
 
Me ni mshabiki wa Simba lakini ulichoandika mtoa mada unaonekana ni mchabiki mwenzangu wa Simba na sijui unaandika hivyo kwa faida ipi?hiv yanga ikianguka wewe utapata faida gani?me nataka yanga ifungwe na Simba ikiwa vizuri sio tofauti na hapo.
Katika mashabiki 100 wanaojua soka na wapenzi kweli wa burudani ya soka safi wewe ni mmoja ktk hao 100. Sio Yanga anaifunga simba goli 5 ikiwa vibaya au simba anaifunga Yanga goli 5 ikiwa vibaya,halafu unapita unashangilia hayo magoli kila mwaka (manara). Huku ukijisahau hata mechi za kimataifa,wewe unatamani tu uishie kuifunga Yanga na simba tu. Unaishia hapo hapo. Tubadirishe soka letu.
 
Eeh Mungu chochea moto huu mgogoro uwe mkubwa zaidi na yanga itokomee kabisa...
AMINA.
Nakubaliana na wewe, namna pekee ya kushindana na Yanga ni kuhakikisha ina migogoro, isipokuwepo migogoro na dhiki, saa hizi Yanga ingekuwa inaikimbiza Real Madrid kwa kuchukua ubingwa wa ligi mara 34
 
Nakumbuka hapa hapa niliwahi Kuwaasa Wanachama Wenzangu wa Yanga SC kuwa kama kuna Mwaka ambao tumechagua Viongozi ' Wabovu ' na ambao niliwaambieni kabisa kuwa Mmoja wao ambaye ni Mwenyekiti Wetu ni ' Kibaraka ' wa Timu bora kwa sasa Afrika Mashariki kama si Afrika ya Simba SC basi ni huu Watu mkadhani An Eagle nilikuwa ' natania ' wakati kumbe ni kweli Mimi ni Ndege Tai ambaye naona kule ambako wengi Wenu hamuwezi Kuona.

Sasa yametimia ambapo kuanzia Jana kuna ' Mtafaruku ' mkubwa ulitokea Klabuni huku Wanachama wa Yanga SC yetu wakiwa hawamtaki Mwenyekiti wetu kwakuwa ni mwana Simba SC hasa. Ni jana hiyo hiyo kuna Mwanachama Mmoja maarufu na Komandoo wa Klabu ya Yanga alisambaza taarifa yake Mitandaoni na bahati nzuri hata Efm Kipindi cha Michezo cha Usiku waliruka nayo ambapo alitoa Shutuma Kali na Nzito kuihusu Yanga SC yangu / yetu na huku akielekeza Makombora yake kwa Mwenyekiti wetu.

Baadhi ya Shutuma zake ni zifuatazo:

1. Mwenyekiti anatumiwa na Mahasimu wetu Simba SC kutuumiza Yanga SC
2. Mwenyekiti hapatani na Makamu Mwenyekiti wake hasa katika suala zima la Kumpata Katibu Mkuu wa Yanga SC
3. Mwenyekiti amechelewesha Posho na Mishahara ya baadhi ya Wachezaji
4. Mwenyekiti analaumiwa kwa Kuwapendelea mno Wachezaji wageni na akiwadharau wazawa / wenyeji
5. Mwenyekiti hapatani na baadhi ya Wajumbe na kwamba Mwezi December mwaka huu Wajumbe Wanne wanajiuzuru
6. Mwenyekiti hataki Kocha Zahera afukuzwe wakati wana Yanga SC wote hadi Mimi An Eagle tumeshamchoka
7. Mwenyekiti hatulii / hakai Ofisini na Yeye kila mara ni Kusafiri tu huku akiponda raha na Pesa zetu wana Yanga SC

Mwishoni akasema kuwa kuna Mpango / Mkakati ambao Mwenyekiti wetu anahusika nao moja kwa moja ambao ni Kuifanya Yanga SC ipoteze Michezo ama Minne au Sita ili Kuchwa na Simba SC kwa Alama ( Points ) 18 kisha alipwe chake na azidi Kula zake Maisha huku akijiandaa Kugombea Ubunge mwakani katika Mkoa anaokubalika ulio jirani na Dar es Salaam kama nia yake ilivyo.

Kwa mliokuwepo Klabuni jana nadhani mliona jinsi Wanachama / Mashabiki Wenzetu wa Yanga SC wasiopenda Ujinga na Upumbavu walivyokuwa ' wamefura / wamekasirika ' kiasi cha Kuanza Kutukana Matusi ya Nguoni na yote wakiyaelekeza kwa Mwenyekiti na Kocha wetu ' Mbovu ' na asiyejua ' Kuvaa ' Mwinyi Zahera na kama isingekuwa juhudi zangu Mimi An Eagle ( Mwana Yanga SC Kindakindaki kabisa ) Kuwatuliza huku nikisaidiana na baadhi ya Watu wa ndani kabisa tunaoijua Yanga SC yetu huenda lile Jengo letu jana lingechomwa Moto au hata dhahama Kubwa kutokea.

Wana Yanga SC Wenzangu leo ' tugomeni ' kabisa tusiende Uwanjani ili ' tushinikize ' Mwenyekiti wetu ' ang'oke ' kwani kama akiendelea Kuwepo basi Mechi zetu zote Mbili na Simba SC ( tena hii ya sasa ambayo ipo vizuri kila Idara ) tunaweza Kufungwa Goli 7 kwa 0 kwa Kila mechi. Na Wachezaji kama akina Sidney, Molinga, Balinya, Sibomana na Bigirimana wala hawatufai kabisa kwani ni ' Wabovu ' na kama tutaona inafaa basi wana Yanga SC Wenzangu tusiwe tunaona Aibu kuwaomba Simba SC ' watuazime ' Wachezaji wao kama akina Mkude, Ajib, Ndemla, Muzamiru au Dilunga ili watusaidie nasi tuweze angalau Kushinda mechi zetu za Ligi kwani ni aibu kwa Timu yetu hadi leo imecheza Michezo Miwili tu tuna Alama ( Point ) Moja tu wakati wao Simba SC wameshacheza Michezo yao Minne na wana Alama ( Points ) zao 12 Kibindoni.

Wana Yanga SC Wenzangu msiponisikiliza Mimi An Eagle katika hili leo hii hii nahamia zangu rasmi Simba Sports Club.
Genta akili zako unazijua mwenyewe
 
Ziamini kwa 99.9999% Ndugu kwani Mimi ni mwana Yanga SC hasa na hata Wana JamiiForums wote wanalijua hilo. Na ili uone kuwa Jangwani Kwetu ' Kumechafuka ' hata Matokeo ya leo dhidi yetu na Coastal Union tayari ninayo. Je, unataka nikupe hapa hapa? Una Moyo wa Kuhimili Uchungu? Mimi kama leo Yanga SC haitoshinda nahamia rasmi Simba Sports Club ambako naona sasa ' Kumenoga ' na kuna raha mno tu. Nakuuliza tena unataka nikupe Matokeo ya leo ili nawe ujiandae Kuandaa ' Bakora ' zako ili Jioni ' tukamfurumishe ' pale Klabuni Mwenyekiti wetu na atuachie Timu yetu?
Taambia nn watu
IMG-20191008-WA0005.jpeg
 
Back
Top Bottom