Niliyoyashuhudia Jeshini

Uzalendo huo
 
Pumba ndio hizi, hapa hujui kusoma au uelewa ni shida?!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Sijui nitakuja tena?
 
Mbona unasema unakamatwa then unasema hujawahi kamatwa?
 
Asante kwa ufafanuzi.

Ila kwa hapa bongo wanajeshi wengi mdebwedo.
sio kweli...ndugu yangu usije ukaingia kwenye 18 zao...ila kikubwa timings tu ukimuwahi umemuweza akikuwahi amekuweza...!

juzi tu hapo kawe Luternant amechomwa bisi bisi ya moyo na boda boda akakata moto...

game la mapambano ni la kuwahiana. ukizubaa umeuawa.

wenyewe wana msemo wao "ADUI SIO BABA YAKO..."​
 
Hivi kupita jeshi kuna umuhimu gani haswa?
hakuna umuhimu wowote ni utumwa kama utumwa mwingine mimi nimeshaapa nikiwa hai nita pambana watoto wangu wasije wakafanya kazi zinazo husiana na Ulinzi...iwe JESHI, POLISI, USALAMA, MAGEREZA na Taka taka nyingine kama hizo .

hizo kazi ni za kitumwa sana...!

 
Hizo mambo za mazoezi kugeuka kuwa adhabu ndizo zilinifanya nichukie aina yoyote ile iitwayo jeshi.Sijawahi kutamani wala kwenda na sitoruhusu mtoto wangu kwenda huko.
 
Tafuta pesa na connection mkuu hizo performance utapata kiurahisi tu acha kuteseka.
 
Wapi kasema ni mwanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…