Niliyoyashuhudia Jeshini

Form six gani Hiace anaita Hiance? Halafu wewe huu uandishi wako ushaharibiwa. Hakuna kitu umebaki nacho. Ndo maana mzee wako alitaka uende jeshini ukakaze misuli ya matako. Umeshalegea sana. Mwanaume hawezi omba saidiwa na mwanamke na hawezi lia eti anamwita mama yake. Wewe ni takataka. Ondoka hapa na uzi wako.
 
Hasira sio nzuri!
Nimekusamehe kwa kuniita takataka.
 
Sawa Mkuu nimekubali mimi ni muoga.
Sio muoga bali haukuwa interested kabisa na Jeshi na sumu walizokuwa wameshakujaza kitaa ukaona ohoo, na uliyoyakuta huko ndio kabisa ukawa unamuwaza mama tu muda gani atakuja kukuchukua. Inaonekana ilibaki kidogo ujikojolee simu zilipokusanywa, ukajua mawasiliano na bi mkubwa ndio bhasi tena 🤣🤣
 
Umeotea episode nayoiandika ni ya hiyo simu kukusanywa😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…