Niliyoyashuhudia Jeshini

Tokea mwanzo nakuona unavyopotosha! Unaongea kuchafua au uliyashuhudia au uliyasikia?

Kutembea na mtu ni maamuzi ya mtu binafsi
🀣🀣🀣🀣 kabla hujalifahamu jeshi wenzio tuliliishi tukaliacha...hakuna kitu ndani ya jeshi ambacho sikijui...

Kuanzia kwenye ubaguzi na mambo mengine yanayo endana na hayo...hivyo matron sizungumzi kufurahisha genge...

Kama halijakukuta mshukuru sana Mungu...ila Jeshi wapo walio jeruhiwa ikiwemo Rafiki Yako white...🀣🀣🀣🀣

Unadhani ina ruhusiwa mkufunzi kutembea na mwanafunzi wake...?​
 
Umeshinda.
 
Selikavu umepita hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…