Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Kule wanakokubembeleza kwamba hujaona mpaka leo?. Mtu kakuanzishia Uzi hukoWapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule wanakokubembeleza kwamba hujaona mpaka leo?. Mtu kakuanzishia Uzi hukoWapi
Weeee....! Umenzishiwa Uzi huko. Jamaa kamwaga sera hatariSijaona hata
I want you to conquer your nightmareDa'Vinci unapomkosea mtu na unamuomba msamaha maana yake hutakiwi kurudia
Naona notification yako mimi sijui nini ulichotuma hivyo nafungua kujua ni nini
Nakutana na kitu kinachoniogopesha sio mara 1 wala 2 unanifanyia hivi kama nina pressure huoni unaweza kuniua?
Au nikuignore nisiwe naona quotes zako kwangu.
Siku ile nilikuambia ukasema hutorudia lkn leo mara ya pili unafanya tena
Sio sawa mimi sijapenda
Situlimaliza kwa kukubaliana uniache, siwezi kua imara kwenye kila kitu, kila mtu na udhaifu wake naomba uache kunitumia picha kama hizoI want you to conquer your nightmare
Hahaha mm uchawi natoa wapiSitulimaliza kwa kukubaliana uniache, siwezi kua imara kwenye kila kitu, kila mtu na udhaifu wake naomba uache kunitumia picha kama hizo
Kwanza umenichawia siku hizi hata ig nikiingia kwenye reels nakuta video nyingi za hivyo.
Haya mpenzi sitarudiaUsinitumie picha za hivyo nipo serious
NaPenda utani sanaLast time ulisema hivyohivyo, naamini ya sasa umemaanisha
Unataka ukagundue nn huku??Muhimu usinitumie picha ya yule mdudu😎
Naomba link ya yule mama ntilie aliyekua anakuzimia
Njoo nanilii basi. Wazee tunatamka kila kitu wazi wazi.Dr Restart tafsida ni muhimu unapowasiliana na vijana
Hahahaha!Basi utakua ni mzee wa hovyoo