Ni Satellites. Kuna moja ilikuwa kubwa ilikuwa ina onekana kama full moon😃Makazi mwenge by then pale mitaa ya mpakani mwenge umati mkubwa wa watu mabarabarani tukiwa tuna bung'aa / shangaa shangaa na gari zilipita kwa mwendo wa speed Kali..
Inasemwa Kuna nyambizi pia ma monuary za kivita ziliweka kambi baharini pia angani kulikua na dege kubwa lisilo onekana limesimama kwa ulinzi..
😊
Marekani yupo mbele ya muda kitambo sanaaa..Ni Satellites. Kuna moja ilikuwa kubwa ilikuwa ina onekana kama full moon😃
Technology tunayo ya kurjuani na umbea bin uchawaMarekani yupo mbele ya muda kitambo sanaaa..
Sisi tupo nyuma ya muda na technology
Haaahaa 😊Technology tunayo ya kurjuani na umbea bin uchawa
Hajadanganya kituYa kwel ayo?
Samahani mkuu hii Nchi inaheshima Gani?Ikulu yetu haikubaki salama ikafanyiwa scanning sitazielezea kulinda heshima ya nchi ila kituko kimoja sitakisahau.
Nakumbuka,wabongo sisi hatari,kumbe tunaweza,palm tree zilikuwa kubwa kabisaa na mizizi yake bila shaka walitumia caterpillar kuzing'oa huko walipozitoaNakumbuka ile njia ya Samnujoma Mlimani City zilipandwa Palm Trees kubwa kubwa zikamea week moja vizuri Obama alivyosepa zikaanza kunyauka ila baadhi zilidumu.
aayaaa nmecheka kichizii duuu! Jamaa walitaka vyo vipande au !nakumbuka kuna mtu fulani mchizi alikuwa analala chini ya daraja la reli karibu pale majani ya Chai, kuingia barabara ilipokuwa zamani Tigo makao makuu.. Sasa kumbe FBI washamfuatilia yule msela zaidi ya mwezi, anaenda kariokoo anachukua mabox matupu anakuja anatandika hapo analala chini ya kidaraja fulani kilikuwa pale...Jamaa wanazoom kama mwezi hivi, wakajua hana issue.. Basi ilivyokaribia ujio wa Obama, FBI wakawambia polisi wetu, kuna mtu analala pale kwenye daraja.. Tumemchunguza hana madhara, ila kamtoeni pale ... Polisi, unavyojua walimshukia kama mwewe, hinginja hingija, tupa kule, mtama , tanganyika jeshi.... Wale FBI wanawashangaa hawa polisi, wakawambia huyo hana madhara ...
Yaani hiyo kitu ilikuwa hatari tupu..
Sidhan kama US walikurupuka au walitaka kuuza sura kwa kutumia mfumo ule walipokuja bongo.Kuna kitu walikitilia shaka katika mfumo wetu wa ulinzi.Pia tukumbuke walikuwa na historia ya tukio la 1998 kwenye ubaloz wao.Waafrika bado sana asee uyu uyu bwege akienda Uk.russia .China shughuli zinaendelea kama kawaida..ata south Africa sizani kama ni maboya kama sisi
Wenye dondoo za hali ya hali ilivyokuwa alivyo enda kenya watujuze.Pamoja na yote hayo kufanyika, hakuna kiongozi aliyehoji hali hiyo kutokea, kisababishi pamoja na impact yake.
Waafrika saazingine tuna akili kama za ngiri.
Ngiri akifukuzwa na simba, akapiga chenga na kusevu, huwa hana muda wa kutafakari, ama hata angalao tu dakika moja ya kusimama kusikilizia hofu inavyodundisha moyo, hakuna.
Akisimama ni muda huo huo kuanza kuchakurachakura udongo kutafuta minyoo chakula chake pendwa, keshasahau.
Hiyo ni sera yao kila Rais wao anapokuwa na ziara nje ya USASidhan kama US walikurupuka au walitaka kuuza sura kwa kutumia mfumo ule walipokuja bongo.Kuna kitu walikitilia shaka katika mfumo wetu wa ulinzi.Pia tukumbuke walikuwa na historia ya tukio la 1998 kwenye ubaloz wao.