Nillan sio Mtoto wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu analala Madale

Kwa sheria za dini ya kiisilam watoto waliozaliwa kabla ya ndoa hawana haki ya kurithi mali za baba yao. Na Domo jana kasema hajawahi kuoa, kwa hiyo hamna anayesaliti kurithi mali hapo.
Wengi wanamchukia nillan kwa sababu ni mtoto wa kiume(tena wa zari) mwenye haki ya kurithi mali za baba yake kwa sheria za dini ya dai. Tiffa hawamtaji wala kumtukana kama zaman alipokua mchanga
 
Sabrina hajambo?.
 
Namchukia kweli Mange Kimavi.
 
Mmmh.

Kunduva tangu ubadili username unatema nondo balaa.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mbona nyingi huwa zina anzaga hivi hivi badae mnakubali. ?.
Na waza tu kichini chini.
 
Mange kimambi ndio role model wa wanawake wote wa Instagram maana dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…