Nillan sio Mtoto wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu analala Madale

Nimefurahi sasa hamisa pambana na wema

Zari pole unaondoka bongo kwa aibu kiasi hicho
aibu ganii hamisa chupi kunuka amemburuza dai mahakamani kwa kukataa kuomba msamaha na hapeleki matunzo hamissa hana chake
 
Wema anampenda mno mondi hii habari ya kurudiana naipa 80% za ukweli
Kwa kweli hata kipindi cha penny ilianza hivi hivi. Sasa sijui hamisa atamchukia wema pia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kisa mange kasema.

Haya yule wa hamisa mnayesema ni wa dai mbona matunzo hapewi mpaka kuburuzwa mahakamani?

Halafu watu mnadhani kupima DNA ni sawa na kupima malaria aiseee
Wewee Almasi ana hela. He is capable of hiring/bribing a specialized doctor to conduct and undergo this task at any cost and eventually find out the hidden identity of the incubant.

Who is nxt to mingle with? dogo atuletee muhabeshi awamu hii sio kwa kumrudia wema aisee hawatendei haki fans zake.
 

Hayo ni maneno ya mangekimambi kuhusiana na ishu ya wema kwenye party.

Majibu ya wema ndo hayo wale mnaopenda sources kutoka kwa mangekimambi huo ndo ukweli kwanini mange asingempigia wema na angepewa ukweli wote,sasa mange yeye anakurupuka tu kutoa habari zisizo na uhakika kuhusiana sakata la Wema na Diamond kurudiana ona mdada wa watu kaumbuka na akome siasa zimemshinda.

Tusubiri diamond atasema nini akirudi Kampala kwenye show,kasema ataweka wazi ishu zote.
Mange ni mwongo yule mdada mbona habari zake siyo za ukweli.
 
Naonaga watu wanasema sijui nini my foot....sema sijui maana yake ila tu ngoja niseme.... Mange kimambi my foot
 
Kisa mange kasema.

Haya yule wa hamisa mnayesema ni wa dai mbona matunzo hapewi mpaka kuburuzwa mahakamani?

Halafu watu mnadhani kupima DNA ni sawa na kupima malaria aiseee
Heh heh heeeeeh. Lol
 
Alishatumiwa kipande cha kisomo ya albadiri ndio maana kwasasa hajielewi
Ipo siku atabadili jina na kujiita Mange Kinembe[emoji3]
Hahahahaaaaaaa hashindwi kutwa kucha na ya wenzie,cjui ata majukum yake ya muhmu anatimiza saa ngapi
 
DUH HIVI KUMBE WEMA NAYE NI WA KUOLEWA!! AINA ZA WATU KAMA WEMA KUOLEWA HAPANA, WA KUOLEWA WAPO ILA SIO YEYE
 
Sasa uoe mke aishi south Africa ww uishi bongo useme nipo kwenye ndoa huo ni uongo wa kiwango cha lami
 
tehe tehe tehe sasa hivi naona hata hamna haja ya kuingia insta mambo yote jf
 
Ubuyu wa moto huwa ni mtamu sana, ngoja nikitulize hapa loh jf sitoki ng'o
 
mmh wiki hii jukwaa letu hili lipoje busy.....zari pole mama huo ndio ustrong lady unaosifiwa...
kisichokuua kitakukomaza tu
Strong woman nillan wa ivan [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…