Nillan sio Mtoto wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu analala Madale

Wema anakataa tu,baadae atakirii
Umeona eeeeh shoo........ndo zake.ananiumaga huyu bdada kutokua na msimamo
Mwshoe ndo hawa wanatufanyaga wanawake tunaonekana wangese......sitaki nataka
Hatujui tunataka nini
 
so diamond akifa leo mali zitupwe kisa watoto hawajazaliwa kwenye ndoa
 
Alituambia hamisa ana mimba ya daimond-na ikawa kweli na dai kakubali mtoto
Alisema hamornize anadate na mzungu-ni kweli
Mange akisema kitu kikawa cha uongo anakanusha vingi anasema kweli,,,ambavyo wengine hamuwezi kutupa ubuyu mtupishe
 
well noted ,tunaendelea kufuatilia,,,,,,
 
Alituambia hamisa ana mimba ya daimond-na ikawa kweli na dai kakubali mtoto
Alisema hamornize anadate na mzungu-ni kweli
Mange akisema kitu kikawa cha uongo anakanusha vingi anasema kweli,,,ambavyo wengine hamuwezi kutupa ubuyu mtupishe
Basi sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…