Nillan sio Mtoto wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu analala Madale

Nillan sio Mtoto wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu analala Madale

Inasemekana daimond alivyokwenda south akamchukua Nillan na kwenda kupima nae Dna kimya kimya majibu yakatoka 99%sio wake,,
Wabongo tulikataa kua mbona huyu mtoto anamfanana marehemu ivan,,

Team zari jiandaen kuja madale kwa kukimbiaa [emoji23][emoji23]
Zari kabadili profile name kwenye page za watoto na ndip ugomvi mkubwa kisa hilii, ,,we daimond nae kwenda kuzaa na bibi ukomegee

Halaf wema kajirudisha Madale ana wiki analala hapo,,duuu huko madale kutakua kutamu sana aisee

====

mange kimambi anasema;

Okay ni hivi hawa watu Dai na Zari ugomvi wao ni mkubwa mnoooooooooooooooo! Kwa kifupi it's over! Na labda Dai asilaumiwe sana! Haki yawezekana Dai kitombi Ila kwa hili Dai anamstiri Zari kushinda maelezo...

Mnakumbuka niliwahi kuandika kuwa Dai aliwahi Kumdai Zari DNA ya Nillan! Well guess what?? Hii juzi Dai alivyoenda SA, kampima Nillan DNA kisirisiri akakuta Nillan sio mtoto wake....... Unaambiwa kiliwakaaaaaa huko sauzi!! kumbe dogo alikuwa anaibiwa!!

Na jana baada ya Zari kuposti huko Tweeter kwamba hatokwenda Uganda na Diamond kwenye hiyo festival Unaambiwa Diamond kachukiaa mbayaaaa anamwaribia biashara sababu angekaaa kimya ili Watu wasijue kuwa haendi, basi Dai akaandika kwenye group la WCB huyu mwanamke nitamdhalilisha mpaka ashangae, meaning ataongea issue ya Nillan. Jamani screenshot ninayo naogopa kuposti coz inaweza julikana nani kamunch kwenye hilo group la WCB.

Alieniletea hiii habari ni mtu very credible. Sio habari za kuokota!! Yani haina chenga. Pia Kama we mjanja utakuwa umenoti kuwa Dai kamposti Tiffah tu alivyoenda Sauzi.
Nimewaza sana why Diamond anamstiri Zari?Imagine amesha-find out 100% Nillan sio mtoto wake na amekaaa kimya! Ndo maana Zari kabadilisha mpaka profile names za watoto,Dai anatishia atasema kakuta Nillan sio wake. Nimewaza why Diamond anafanya ubinadamu huu kwa Zari Ila jibu ni moja tu, sio kwamba anamprotect Zari tu ila anajiprotect na yeye mwenyewe kwa aibuuuuuu. Atachekwaaaaaaa kabambikiwa mtoto. Kalea mimba sio yake, kafanya arobaini ya mtoto sio wake!

Jamani mnaambiwa Dai kadai DNA kwa Zari mpaka kachoka Zari anagoma !!! Ndo hivyo kafanya juzi!

Sidhani kuna siku ningeona Dai sio mtu mbaya Ila kwa hili nampa pongezi aiseeee Dai anamstiri Zari.

Mniamini 100% kuwa Dai kampima Nillan DNA juzi Sauzi bila Zari kujua akakuta mtoto sio wake. Hao kina Hamornize wooote wanajua!

Kati ya vyote kilichonistua ni kuambiwa mdogo wangu Wema analala Madale hiii wiki nzima!!! Doh nimechoka kabisaaa, tunamwambia Zari aondoke mdogo wangu ndo anaenda kulala huko? . Unaambiwa Dai ni anaenda kula kwa Wema kila siku, anapikiwa mashatashata .Basi rudini kulala
Inatoshaaaaaaaa sasa duuu!
Too much is harmfull
 
Inaweza ikachukua wiki 3 mpaka 12, na huku kwetu Africa siwezi kuamini eti kapata majibu ndani ya siku 2. Mange anazingua
Africa ni tz, kwa SA sio Africa acha ujinga wewe kama hujawahi fika huko nyamaza
 
Ndio kwa mujibu wa uislamu.
Mtoto haramu harithi Mali ya baba ake na Wala baba harithi Mali ya mtoto wake.

Mali za diamond Mwenye wajibu wa kurithi ni mama yake tu.

Kwa mujibu wa uislam Ila akisema Mali zake zigawanywe kwa mujibu wa sheria zetu wazaz wake na watoto wote wanamafungu yao labda aache wosia wa Kisheria.
Ktk uislam hakuna mtoto wa haraam ktk maandiko yote unayoyajua isipokuwa kuna mtoto wa zinaa
 
Wengi wanamchukia nillan kwa sababu ni mtoto wa kiume(tena wa zari) mwenye haki ya kurithi mali za baba yake kwa sheria za dini ya dai. Tiffa hawamtaji wala kumtukana kama zaman alipokua mchanga
Uislamu haurithishi mali kwa mtoto wa nje ya ndoa!
 
Wengi wanamchukia nillan kwa sababu ni mtoto wa kiume(tena wa zari) mwenye haki ya kurithi mali za baba yake kwa sheria za dini ya dai. Tiffa hawamtaji wala kumtukana kama zaman alipokua mchanga

dini gani hiyo ya dai mtoto wa nje ya ndoa anaruhusiwa kurithi...????
dini haihusiki hapo waendelee tuu na ya dunia...
 
Wabongo bwana wakishamuamini mtu basi hata aseme nini wanaamini.
Mange huyu huyu alituambia kuwa diamond baada ya kutoka clouds ataenda kwa hamisa na yale aliyosema kwenye interview wamepanga ili kumtuliza zari.
Akatuambia hata zile picha na video diamond ndiye kamwambia hamisa aziachie.
Leo hii yako wapi kama walipanga mbona wamefikishana mahakamani.
Yaa kuambiwa changanya na akili yako...
Mange huyo huyo ndiye aliyeapia kwa miungu yake yotekuwa yule Zulekha sio mdogo ake Zari, bali ni mtoto wake wa ujanani. Akasema na ushahidi anao. Ila kikamshuka shuuu. So pathetic!!
 
Mimi ningekuwa Zari ningetulizana zangu kimyaa, nimekunja nne nakinywa Cocktail tuu. Ila Zari naye akae kimya aishiwe damu. WaTz wanamuwehusha sanaaa. Ule u classic wake wa enzi zile woote inaisha.. Saivi kila mtu insta anamtukana zari ili apate followers wengi. shame
 
amalize mambo yake na Hamisa nje ya mahakama akamate mtoto aoe ndoa safi ya kiislamu then akitaka aongeze na huyo Wema. Mbunye na ulevi ndio sababu kuu ya kuporomosha watu toka vilele vya mafanikio. Atagonga hovyo hadi lini sasa.
 
Zari karithi mali nyingi sana na anachotaka ni kuachana na Diamondi bila makelele mengi akasimamie mali zake.
 
Back
Top Bottom