Kwenu wakuu ninatatiza nikimaliza kushusha basi utazani usingizi ni wawiki kumi nalala nini kisababishacho msaada tutani.
Hapa kwata labda speed na viwango vyangu vinapitiliza nini??Kakakiiza huwa unalala nawewe hi picha yako sithani kama utalala mkuu shughuli huwa pevu au huwa una fanya romas mda mrefu sana jaribu kupunguza muda au ama huwa unana rudinyumbani umechoka lakini sio tatizo hilo hutokea kwakilamtu
Ahaaa yakwanza na yapili ni in to in hivyo nikimaliza shughuli hiyo baada ya demu kushuka kama x3 hivi mimi nikishuka ninapata usingizi ajabu!ila nachoshukuru najimdu!!Inaonyesha mkuu kwako kwenda round mbili na kuendelea huwa ni msamiati!!!!pole sana,tuliza akili na jaribu kuconcentrate na kile unachokifanya kwa wakati huo!
Maria Roza anaweza akaongezea hapo kwa ushauri zaidi!
Kama ni mwanamke yeye hamalizi na kulala? Wewe mimi ni muirawq original sio Mbulu utaanza kuita Mbabati, Mkaratu Mhanang' na kadhalika
H'aiya m'amaa khah,o leg,e
ushauri mwingineeee mmmmmmhPata Masturbation kabla ya kuanza mechi yeyote! Vinginevyo kula tiGo hakuna kulala huko
Hakika huu ni ushauri nasaha kwa machangudoa
ahahahaaah!tatizo watu wanakula ovyo mazoezi hawafanyi inapelekea poor perfomance na wake zenu kulala na mahouseboy na wasukuma mikokoteni maana wale pumzi haikatiki kazi mtindo mmoja nyie mnakuja kufagia fagia wakati wenzenu wanapalilia
Kama ni mwanamke yeye hamalizi na kulala? Wewe mimi ni muirawq original sio Mbulu utaanza kuita Mbabati, Mkaratu Mhanang' na kadhalika
Kwenu wakuu ninatatiza nikimaliza kushusha basi utazani usingizi ni wawiki kumi nalala nini kisababishacho msaada tutani.
hujasema kama mwenzio naye analala usingizi kama wa kwako mkiviacha vifaa vyenu vikiwa bado viko vimebakia engaged. kama ni wewe tu peke yako basi kabla ya gemu jaribuni nyote kuoga maji ya baridi. watalaaam wanajua ni kwa nini. utapata matokeo mazuri. huenda bila kujijua unakuwa umechoka kabla hujaanza gemu
Jamani mimi kila kitu kikosawa napiga mashine na yeye anasema nimeridhika simchezo ila nikifika zamu yakushusha nashusha fresh ila nikwamba baada yakuweka ubavu basi napitiwa usingizi labda nikimaliza niamke niingie bafuni hapo poa ila nikisena ngoja nijipumzishe usingizi mnono!
Kwenu wakuu ninatatiza nikimaliza kushusha basi utazani usingizi ni wawiki kumi nalala nini kisababishacho msaada tutani.