Nimalizapo tu!

Nimalizapo tu!

Kwenu wakuu ninatatiza nikimaliza kushusha basi utazani usingizi ni wawiki kumi nalala nini kisababishacho msaada tutani.

Semeji kipute chake inaoneka ni mchaka mchaka kma backlays legue mzee , na akiongeza dozi lazima ufariki wewe
 
Pata Masturbation kabla ya kuanza mechi yeyote! Vinginevyo kula tiGo hakuna kulala huko
:doh::doh::doh::tape::tape::tape::nono::nono::nono:Mahadili ya kabila langu hayajaniruhusu japo wa roma naona wanataka kuharalisha!!
 
Kakakiiza huwa unalala nawewe hi picha yako sithani kama utalala mkuu shughuli huwa pevu au huwa una fanya romas mda mrefu sana jaribu kupunguza muda au ama huwa unana rudinyumbani umechoka lakini sio tatizo hilo hutokea kwakilamtu
Hapa kwata labda speed na viwango vyangu vinapitiliza nini??
 
Inaonyesha mkuu kwako kwenda round mbili na kuendelea huwa ni msamiati!!!!pole sana,tuliza akili na jaribu kuconcentrate na kile unachokifanya kwa wakati huo!

Maria Roza anaweza akaongezea hapo kwa ushauri zaidi!
Ahaaa yakwanza na yapili ni in to in hivyo nikimaliza shughuli hiyo baada ya demu kushuka kama x3 hivi mimi nikishuka ninapata usingizi ajabu!ila nachoshukuru najimdu!!
 
tatizo watu wanakula ovyo mazoezi hawafanyi inapelekea poor perfomance na wake zenu kulala na mahouseboy na wasukuma mikokoteni maana wale pumzi haikatiki kazi mtindo mmoja nyie mnakuja kufagia fagia wakati wenzenu wanapalilia
 
Chapa usingizi kwani iko nini................is not your body more than over-sexing yourself?

Usiige kunya kwa tembo utapasuka msamba.......................fanya vitu vyako kufuatana na pumzi yako usiigize wengine.....nilipokuwa kijana hata sita nilikuwa naenda..lakini baadaye nilijiuliza hivi usingizi je....................si una muhimu maishani kwangu.......kila kitu kula kwa kiasi na utafaidi maisha............
 
tatizo watu wanakula ovyo mazoezi hawafanyi inapelekea poor perfomance na wake zenu kulala na mahouseboy na wasukuma mikokoteni maana wale pumzi haikatiki kazi mtindo mmoja nyie mnakuja kufagia fagia wakati wenzenu wanapalilia
ahahahaaah!
 
Mkubwa usihofu tatizo la kawaida tu,labda inaonekana ulijichua sana wakati fulani,kama ni hivyo hiyo hali itaisha,ila jitahidi kufanya mazoezi na pia ili mwenzio awe anafika kileleni jitahidi kumfanyia romance ya kutosha kama saa moja au dakika 45 ili ukichoka nae awd ameridhika!!!!
 
Jamani mimi kila kitu kikosawa napiga mashine na yeye anasema nimeridhika simchezo ila nikifika zamu yakushusha nashusha fresh ila nikwamba baada yakuweka ubavu basi napitiwa usingizi labda nikimaliza niamke niingie bafuni hapo poa ila nikisena ngoja nijipumzishe usingizi mnono!
 
Kama ni mwanamke yeye hamalizi na kulala? Wewe mimi ni muirawq original sio Mbulu utaanza kuita Mbabati, Mkaratu Mhanang' na kadhalika



Ngoja niongee kidogo kwa Kiiraqw kwa Dena Amsi:
Fuqi bara adoqawa hheese, ulwa litar wak wahe daqni u^ru wog ugwaqokiis garninawe. Bar ulwi kahhiya, Maay wahe litar wak.
 
Kwenu wakuu ninatatiza nikimaliza kushusha basi utazani usingizi ni wawiki kumi nalala nini kisababishacho msaada tutani.

hujasema kama mwenzio naye analala usingizi kama wa kwako mkiviacha vifaa vyenu vikiwa bado viko vimebakia engaged. kama ni wewe tu peke yako basi kabla ya gemu jaribuni nyote kuoga maji ya baridi. watalaaam wanajua ni kwa nini. utapata matokeo mazuri. huenda bila kujijua unakuwa umechoka kabla hujaanza gemu
 
hujasema kama mwenzio naye analala usingizi kama wa kwako mkiviacha vifaa vyenu vikiwa bado viko vimebakia engaged. kama ni wewe tu peke yako basi kabla ya gemu jaribuni nyote kuoga maji ya baridi. watalaaam wanajua ni kwa nini. utapata matokeo mazuri. huenda bila kujijua unakuwa umechoka kabla hujaanza gemu


Ndio hilo litawasaidia kwakuwa ukioga majibaridi masozi zinakaza kwahiyo hapo utapata nguvu zaid mimi nilikuwa napata tabu kulala nikaenda kwa daktari akaniuliza huwa kabla ya kulala unaoga maji baridi nikmjbu ndio akanishauri nioge maji moto ambayo motowake ni maxmam huregeza masozi nakweli mkuu nilipo fanyahivyo mkuu kamanimekula pono
 
Jamani mimi kila kitu kikosawa napiga mashine na yeye anasema nimeridhika simchezo ila nikifika zamu yakushusha nashusha fresh ila nikwamba baada yakuweka ubavu basi napitiwa usingizi labda nikimaliza niamke niingie bafuni hapo poa ila nikisena ngoja nijipumzishe usingizi mnono!

KakaKiiza hapo mkuu unaiangusha kusema labda uinuke kwenda kuoga inamana wewe huwa ukiuwa unalala bila kujichanyata mkuu kama ningum jaribu kuwa unosha ile rungu ya kimasai usiilaze namakapi kuna mazara mkuu plz
 
Pole mdau, nadhani mawazo yanachangia kwenye hilo! jaribu kuondoa mawazo na fanya kinachokusudiwa na sahau kama una matatizo hayo, ukiyafikiria yatarudi ghafla! jaribu halafu leta mrejesho
 
Kwenu wakuu ninatatiza nikimaliza kushusha basi utazani usingizi ni wawiki kumi nalala nini kisababishacho msaada tutani.

kakakiiza hilo nadhani sio tatizo ambalo linaweza kukuathiri sana hii is an additional material that will help you and others understand the reality of this situation “A man’s body chemistry changes after orgasm," says David McKenzie, a sex therapist in Vancouver. "The biochemical prolactin is released, physically altering his body and making him very tired.” In contrast, women may not orgasm every time they have sex. So, after rocking your lover’s world, you may still be semi-aroused and have the energy to talk about love and life while he’s drifting off to dreamland.

Mark Leyner and Billy Goldberg, M.D., authors of Why Do Men Fall Asleep After Sex?, offer an additional biological explanation: “It is thought that exertion during sex and after climax depletes the muscles of energy-producing glycogen. This leaves men feeling sleepy. Since men have more muscle mass than women, men become more tired after sex.” Leyner and Goldberg state that there is little direct evidence to explain men falling asleep, though, after orgasm, the chemicals oxytocin, prolactin, gamma amino butyric acid (GABA) and endorphins all contribute to that “roll over and snore” feeling. ni mchango wangu huo mdogo nimeona niuwasilishe hapa kwa faida yetu wote
 
Back
Top Bottom