Nime - bet nimeshinda milioni 18 naombeni wazo la uwekezaji

Mkuu nicheck pm kuna sehemu nitakuelekeza ukawekeze haizid 2.6M utakua unapokea 156,000 kila siku kwa siku 100 na unaruhusiwa kuwekeza tena na tena
So 2.6m kwa mwezi siku 30 unapata 4,680,000!!!
Maisha yangekuwa mepesi hivii...!!
 
Reactions: hnp
Mkuu nicheck pm kuna sehemu nitakuelekeza ukawekeze haizid 2.6M utakua unapokea 156,000 kila siku kwa siku 100 na unaruhusiwa kuwekeza tena na tena
Tuelekeze wte..
 
Reactions: hnp
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…