witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulishaniita tapeli nikuwekee link ya nn? Pambana na maisha yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulishaniita tapeli nikuwekee link ya nn? Pambana na maisha yako
Mkuu umebetia wapi mkuu kwa hapa moshi online au betting shop, maana moshi wana galsport na premier kama ni betting shop.Niko moshi....... Iyo pesa ilikua ya pocket money kipindi niko fom six. Mm nimeuwa six mwaka huu tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa ndo nimebahatisha 18m
Wewe ni tapeli .Ulishaniita tapeli nikuwekee link ya nn? Pambana na maisha yako
Kuna ndugu yangu alichukua hela za kanisa akaenda kubet.. million 2.
Akaweka mechi 2,akaliwa.
Hadi Sasa haelewi atawaambia watu nini kuhusu hela zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naskia harufu ya QNET na AIM GLOBAL hapaMkuu nicheck pm kuna sehemu nitakuelekeza ukawekeze haizid 2.6M utakua unapokea 156,000 kila siku kwa siku 100 na unaruhusiwa kuwekeza tena na tena
Huyu naye ushamba wake umemfelisha, kama unabet bet kimya kimya ule. Sasa hazijui sheria za betting alafu anabet nini sasa.Natamani hiyo stori ingekuwa ya kweli ili nicheke vizuri
Kuna ndugu yangu alichukua hela za kanisa akaenda kubet.. million 2.
Akaweka mechi 2,akaliwa.
Hadi Sasa haelewi atawaambia watu nini kuhusu hela zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo lazima abadili diniHuyu naye ushamba wake umemfelisha, kama unabet bet kimya kimya ule. Sasa hazijui sheria za betting alafu anabet nini sasa.
Bet what you can afford to loose, kuna sheria lukuki zinazo husiana na betting.
Hapo lazima ukoo uchangishwe walipishwe yaani hizi taasisi za dini wala hazina huruma.Natamani hiyo stori ingekuwa ya kweli ili nicheke vizuri
Hapo lazima abadili dini
Hapo lazima ukoo uchangishwe walipishwe yaani hizi taasisi za dini wala hazina huruma.
Sijawahi kuona watu wenye roho mbaya kama hizi taasisi za diniAhahahahaha.
Hapo somo la SHETANI kafundishwa kwa vitendo.
Kweli mkuu?Sijawahi kuona watu wenye roho mbaya kama hizi taasisi za dini
Utakuja kulia sasa hiviOnline network....
Pesa unaiweka kwa mtindo upi? Unamtumia "usiyemjua" kwenye line yake au inakuwaje?
Tafadhali tueleza namna unavyoweka hiyo pesa ili itusaidie kujua wewe na sisi pia.
Tatizo lao moja hujikutaga watu wakusali kumbe ni wanafiki sana, huwa tu mimi kuna vingi sielewagi kwao.Kweli mkuu?
Ulikutana na tukio gani au chngamoto gani mpaka unawashukia namna hii?
Weka mkeka hapa kwanza, vinginevyo ni chai tu huu uzi.Naomben ushaur jamani. nimebet jana nimeshinda 18m sasa sielewi hii pesa ni invest wapi ili iweze ku multiply.........
Msaada tafadhali [emoji257]
Ulijenga kanisa au msikiti?Tatizo lao moja hujikutaga watu wakusali kumbe ni wanafiki sana, huwa tu mimi kuna vingi sielewagi kwao.
Kuna ujenzi mmoja nilifanya wakanikazia kudadeki daaah hawalipagi pesa wadhulumati sana.
KanisaUlijenga kanisa au msikiti?
Hivi unajua hesabu ya pikipiki kwa cku ni sh ngapi? Usimpoteze mwenzako kwa dili zisizo za maaanaToa million 2 iweke kwenye kubet tafuta odd 2 Kwa siku weka 100k faida 100k fanyaga Kwa siku 30 kila mwisho wa mwezi unafunga Hesabu Una angalia profit ni ngapi itabaki 16 toa 3m tafuta boda boda 2 za 1.5m 2 Kwa siku zitakuwa zinakuletea 20k Kwa mwezi 600k itabaki 13m toa 1m au 1.5m tafuta kiwanja utaanza kujenga kidogokigo faida unayo pata kwenye biashara. Imebaki 12m fungua Duka la mitumba la 2m Una nunua mitumba grade A jinsi or t-shirt itabaki 10m toa 5m kafungue fixed account bank funga Kwa miaka 5 ukijafungua utakuta faida kibao. 5m ilio Baki utajua wew ufanyie nn
Hajui huyo... mwache tuHivi unajua hesabu ya pikipiki kwa cku ni sh ngapi? Usimpoteze mwenzako kwa dili zisizo za maaana
Sipo hapa kujadili chochote, tumekubaliana hii ishu haipo kwann unilazimishe kuijadili?Hakunaga hela za bure bro.
Kwamba Nikupe hela then ndani ya mwaka (siku 365) unipe zaidi ya Mil 40.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ngastuka machale kundesa.
Nina fanya Kazi serikalini zenye Investments, Economics, and Finance.
Then I HAVE KNOWLEDGE KUBWAA SANAA NA UWEKEZAJI.
Hebu Leta mada tuijadili hapa kwa kutumia factor za darasani na MTAANI (Real World).
Kwamba Nikupe tu hela unirudishie mihela.
HIYO BIASHARA NI IPI?
#YNWA