kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Litapigwa jitu sasa hivi yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh kwamba within 100days anapata 15,600,000/=!!!??????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Litapigwa jitu sasa hivi yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh kwamba within 100days anapata 15,600,000/=!!!??????
Wewe kesho asubuhi nenda CRDB au bank yoyote iliyo karibu yako kaulize nikiweka 18M ktk fixed muda wa mwaka napata faida % ngapi?Naomba mfano wa kiasi gani kiliwekwa, kwa muda gani, na taasisi gani, na faida ilipatikana kiasi gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani kuna mahesabu yanagoma kabisa kukaa akiliniLitapigwa jitu sasa hivi yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio nayoifanya sasa huwez kuiamini na sipo hapa kumshawishi yyteDuh kwamba within 100days anapata 15,600,000/=!!!??????
Mkuu sio lazima uamini na sipo hapa kumshawishi yoyote. Baki na fikra zako hasiLitapigwa jitu sasa hivi yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja tutafute pesa mkuu utupe connectionNdio nayoifanya sasa huwez kuiamini na sipo hapa kumshawishi yyte
Na iyo sio lazima uanze na iyo 2.6M iyo ni kiwango cha maximum ambapo kiwango cha chini ni 2,600 yaani elfu 2 na mia sita hasa kweli mtu akuibie 2600??Ngoja tutafute pesa mkuu utupe connection
Iko ivi:Dili gan ilo mkuu tupe summary
Online network....Iko ivi:
Kiwango cha chini cha kuinvest ni 2600 cha juu kabisa ni 2.6M ambapo unakua unapokea 6% ya ela ulowekeza kwa siku 100. Unaruhusiwa kuwekeza zaidi na zaidi. Na kuna viwango vya kati kati ya iyo 2600 na 2.6M ambapo mm nilianza na 26,000 mpk sasa nimefikisha 31000 na nilishatoa elfu 20 cash. Hii ni online network ambapo imebase kwny kuwekeza zaidi.
Mkuu hii ishu ni ya jamaa wa IT mmoja wa Kenya uko na ni legal uko kwao na ameifungulia hadi kampuni. Kama unakua huna imani nae ndio maana ameweka kima cha chini 2600 ili imani ijengeke kadri siku zinavyozid kusongaOnline network....
Pesa unaiweka kwa mtindo upi? Unamtumia "usiyemjua" kwenye line yake au inakuwaje?
Tafadhali tueleza namna unavyoweka hiyo pesa ili itusaidie kujua wewe na sisi pia.
Ndivyo walokole wengi mnavyo danganyana wakati kuna watu wamejenga nyumba za kisasa kwa pesa ya kubet.Hongera kwa ushindi, ila hiyo pesa haitakufikisha popote kwa vile hukuifanyia kazi.
Samahani lakini.
Tapeli huyu.Mkuu nicheck pm kuna sehemu nitakuelekeza ukawekeze haizid 2.6M utakua unapokea 156,000 kila siku kwa siku 100 na unaruhusiwa kuwekeza tena na tena
Weka link watu waingie wenyewe ili usitumie mda mwingi kueleza watu badae uitwe tapeliIko ivi:
Kiwango cha chini cha kuinvest ni 2600 cha juu kabisa ni 2.6M ambapo unakua unapokea 6% ya ela ulowekeza kwa siku 100. Unaruhusiwa kuwekeza zaidi na zaidi. Na kuna viwango vya kati kati ya iyo 2600 na 2.6M ambapo mm nilianza na 26,000 mpk sasa nimefikisha 31000 na nilishatoa elfu 20 cash. Hii ni online network ambapo imebase kwny kuwekeza zaidi.
Ulishaniita tapeli nikuwekee link ya nn? Pambana na maisha yakoWeka link watu waingie wenyewe ili usitumie mda mwingi kueleza watu badae uitwe tapeli
Hii ni Qnet au network marketing?Mkuu nicheck pm kuna sehemu nitakuelekeza ukawekeze haizid 2.6M utakua unapokea 156,000 kila siku kwa siku 100 na unaruhusiwa kuwekeza tena na tena
Hahahaaa weka link acha utapeli bana hasira za nini sasaUlishaniita tapeli nikuwekee link ya nn? Pambana na maisha yako