Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Wazee wa FOREVER LIVING at.elNa iyo sio lazima uanze na iyo 2.6M iyo ni kiwango cha maximum ambapo kiwango cha chini ni 2,600 yaani elfu 2 na mia sita hasa kweli mtu akuibie 2600??
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa FOREVER LIVING at.elNa iyo sio lazima uanze na iyo 2.6M iyo ni kiwango cha maximum ambapo kiwango cha chini ni 2,600 yaani elfu 2 na mia sita hasa kweli mtu akuibie 2600??
Nilifanya kuielezea ili kujaribu kumfahamisha muweka uzi kama itamvutia awekeze na kama hana imani nayo aweke kima cha chini 2600 ila kwakua naonekana tapeli, tufanye hii kitu haipo duniani. Nimeufunga mjadala kuhusu hii ishuHahahaaa weka link acha utapeli bana hasira za nini sasa
Kuna lile wazo la biashara ulilokuwa ukiliwaza kila siku...Naomben ushaur jamani. nimebet jana nimeshinda 18m sasa sielewi hii pesa ni invest wapi ili iweze ku multiply.........
Msaada tafadhali [emoji257]
Endelea kuotea. Kibaya zaid hii haihusiki na products zozote ila kwakua naonekana tapeli. Hii ishu haipo mkuu tuendelee kufanya kazi.Wazee wa FOREVER LIVING at.el
#YNWA
Mnawanunulisha watu bidhaa wakauze halafu hamuwapi marketing skills.Nilifanya kuielezea ili kujaribu kumfahamisha muweka uzi kama itamvutia awekeze na kama hana imani nayo aweke kima cha chini 2600 ila kwakua naonekana tapeli, tufanye hii kitu haipo duniani. Nimeufunga mjadala kuhusu hii ishu
Ahsante, naomba tuufunge huu mjadala mkuu.Mnawanunulisha watu bidhaa wakauze halafu hamuwapi marketing skills.
Then wanadoda nazo na kujutia hela zao.
Dunia ya sasa ukiona Unaitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa.
#YNWA
Hakunaga hela za bure bro.Endelea kuotea. Kibaya zaid hii haihusiki na products zozote ila kwakua naonekana tapeli. Hii ishu haipo mkuu tuendelee kufanya kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe umestukia mkuuEndelea kuota mkuu.
Huu ni wizi wa wazi wazi, wajinga wanapigwa mnoNa iyo sio lazima uanze na iyo 2.6M iyo ni kiwango cha maximum ambapo kiwango cha chini ni 2,600 yaani elfu 2 na mia sita hasa kweli mtu akuibie 2600??
Wewe huna milioni 18m[emoji848][emoji848]Niko moshi....... Iyo pesa ilikua ya pocket money kipindi niko fom six. Mm nimeuwa six mwaka huu tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa ndo nimebahatisha 18m
🤣🤣🤣🤣anabetia pesa za sadaka🤣🤣🤣🤣Hapo siku chache kabla alikuwa anaelezea kuhusu betting.
Anasema yaani hela za mteremko zipo huko,,akajiaminisha mwenyewe akasuka mikeka...yote ikachanika.
Sadaka za watu anaenda kubetia.
Anapiga simu mwanzo alidanganya,akasema ameibiwa hela ndani..
Kumbe amebet!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaadeki[emoji2960]Mkuu nicheck pm kuna sehemu nitakuelekeza ukawekeze haizid 2.6M utakua unapokea 156,000 kila siku kwa siku 100 na unaruhusiwa kuwekeza tena na tena
Fixed deposit faida ya kishenzi na bado inapigwa kodiHivi nyie watu mnajua faida ya fixed account ni ndogo sana?
Bora atafute biashara ya kuifanya izunguke na kuzaa faida kubwa kidogo kuliko fixed account.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza kapate chanjo ya covid ili uje kula M18 Zako kwa amani
Uko sahihi kwenye kuweka fixed ila huo usahihi kwenye faida ya 25m-30m unanipa mashaka unless ataiweka kwa more than 10yrsKama bado Una endelea na masomo kaweka bank iyo pesa 16m au 15m ifunge mpk utakapo maliza shule ifunge kwenye fixed account ambayo unapata faida asilimia flani kila watakapo itumia so unaweza weka 15m ukaja kuta 25m or 30m kutokana na mda ulio weka hapo sasa utatulia na kutuliza akili ujue unafanya biashara gani au unafungua biashara gani
Mazombi ya wrong turn [emoji848]Ili niwe zombie
Gusa unateee ntiiDuh kwamba within 100days anapata 15,600,000/=!!!??????
Collateral zao ni zip ili mi niweze kuwekeza hela angu ukoo?Iko ivi:
Kiwango cha chini cha kuinvest ni 2600 cha juu kabisa ni 2.6M ambapo unakua unapokea 6% ya ela ulowekeza kwa siku 100. Unaruhusiwa kuwekeza zaidi na zaidi. Na kuna viwango vya kati kati ya iyo 2600 na 2.6M ambapo mm nilianza na 26,000 mpk sasa nimefikisha 31000 na nilishatoa elfu 20 cash. Hii ni online network ambapo imebase kwny kuwekeza zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] guuusaaa unateeeeMkuu hii ishu ni ya jamaa wa IT mmoja wa Kenya uko na ni legal uko kwao na ameifungulia hadi kampuni. Kama unakua huna imani nae ndio maana ameweka kima cha chini 2600 ili imani ijengeke kadri siku zinavyozid kusonga