- Thread starter
- #41
Biashara gan sasa.?nackia dangulo lina pesa sanaHuyo jamaa anakuuza.
Usibet tena na wala usiweke fixed account faida ndogo sana.
Tafuta biashara ya kuwekeza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara gan sasa.?nackia dangulo lina pesa sanaHuyo jamaa anakuuza.
Usibet tena na wala usiweke fixed account faida ndogo sana.
Tafuta biashara ya kuwekeza tu.
Mkuu nicheck pm kuna sehemu nitakuelekeza ukawekeze haizid 2.6M utakua unapokea 156,000 kila siku kwa siku 100 na unaruhusiwa kuwekeza tena na tenaNaomben ushaur jamani. nimebet jana nimeshinda 18m sasa sielewi hii pesa ni invest wapi ili iweze ku multiply.........
Msaada tafadhali [emoji257]
Ahaa sawaIla na chuo pia nataka nifanye biashara
Hivi nyie watu mnajua faida ya fixed account ni ndogo sana?Kama bado Una endelea na masomo kaweka bank iyo pesa 16m au 15m ifunge mpk utakapo maliza shule ifunge kwenye fixed account ambayo unapata faida asilimia flani kila watakapo itumia so unaweza weka 15m ukaja kuta 25m or 30m kutokana na mda ulio weka hapo sasa utatulia na kutuliza akili ujue unafanya biashara gani au unafungua biashara gani
[emoji23]Dooh! Huyo anahasara kubwa sana maishani mwake inabidi azinduke haraka sana.
Yaani hatua aliyofikia ni mbaya sana atafedheheka
Mshauri atoke huko kama unaweza
Naomben ushaur jamani. nimebet jana nimeshinda 18m sasa sielewi hii pesa ni invest wapi ili iweze ku multiply.........
Msaada tafadhali [emoji257]
Betting sio rahisi wakubwa inahitaj uwe na macho ya rohon na analysis kali sana.... Uyo mwamba mpen pole tu hakuna namna pesa zake zishaingia kwenye circle[emoji23]
Yaani yeye ndio alituletea hizo habari za betting na akawa anatuhadithia inavyokuwa,anatushauri tuingie kubet.
Hizo stori alikuwa anapiga mimi wala sikumsikiliza.
Hata wiki haijapita anapiga simu kuwa amepoteza hela[emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhari kanikopee pesa kanisani na mimi nijaribu mkeka wangu...😀[emoji23]
Yaani yeye ndio alituletea hizo habari za betting na akawa anatuhadithia inavyokuwa,anatushauri tuingie kubet.
Hizo stori alikuwa anapiga mimi wala sikumsikiliza.
Hata wiki haijapita anapiga simu kuwa amepoteza hela[emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili niwe zombieKwanza kapate chanjo ya covid ili uje kula M18 Zako kwa amani
kumbe anarecruit kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
Yaani yeye ndio alituletea hizo habari za betting na akawa anatuhadithia inavyokuwa,anatushauri tuingie kubet.
Hizo stori alikuwa anapiga mimi wala sikumsikiliza.
Hata wiki haijapita anapiga simu kuwa amepoteza hela[emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tafadhari kanikopee pesa kanisani na mimi nijaribu mkeka wangu...[emoji3]
Yaani[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe anarecruit kabisa[emoji3][emoji3][emoji3]
Huu mmea n haramKuna dili Arusha la kusafirisha "mimea" fulani hivi inahitaji milioni 15 tu ikitoboa Kenya unapata milioni 50[emoji1787][emoji1732][emoji205]
View attachment 1874545
Mwanzo alibet hela ndogo akapata.Betting sio rahisi wakubwa inahitaj uwe na macho ya rohon na analysis kali sana.... Uyo mwamba mpen pole tu hakuna namna pesa zake zishaingia kwenye circle
Simple tu,nenda uwe mtunza hazina wa kikundi cha kwaya,halafu kabetia hela zao,Tafadhari kanikopee pesa kanisani na mimi nijaribu mkeka wangu...[emoji3]
Duh kwamba within 100days anapata 15,600,000/=!!!??????Mkuu nicheck pm kuna sehemu nitakuelekeza ukawekeze haizid 2.6M utakua unapokea 156,000 kila siku kwa siku 100 na unaruhusiwa kuwekeza tena na tena
Mkuu kula bata Covid ndio hyooo...Naomben ushaur jamani. nimebet jana nimeshinda 18m sasa sielewi hii pesa ni invest wapi ili iweze ku multiply.........
Msaada tafadhali [emoji257]
Naomba mfano wa kiasi gani kiliwekwa, kwa muda gani, na taasisi gani, na faida ilipatikana kiasi gani?Hivi nyie watu mnajua faida ya fixed account ni ndogo sana?
Bora atafute biashara ya kuifanya izunguke na kuzaa faida kubwa kidogo kuliko fixed account.