Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Wapigie mkuu sasa sisi huku tunajua niniwakuu hii imekaje
Nilikua nime deposite hela utt kupitia nmb sim app lakin mpaka sasa inasoma zero
kwan JF nzima hamna wawekezaji kwen UTT??Wapigie mkuu sasa sisi huku tunajua nini
nimeogopa mkuu asante kwa comment yakoMkuu ndiyo mara yako ya kwanza kudeposit kweny akaunt yako ya utt? Ni kwamba unaponunua vipande unanunua kwa thamani ya siku husika ila salio kuja kuonekana kwenye akaunt huwa uchukua kuanzia 24 hrs hadi 24
Kuwa na amani pesa yako iko sehem salama kabisa
kwann sasa inamaana we hujui loloteWapigie hapa hamna msaada utakaopata
Wewe nouna unapenda sumbua watu contact zao hizi hapakwann sasa inamaana we hujui lolote
hizi namba hawapokeiWewe nouna unapenda sumbua watu contact zao hizi hapaView attachment 3156976
haswaaAll the best
Shehe ni baada ya siku tatu ndio issue yako inakuwa imeshafanyiwa kazi,so vuta subira,nina experience ya kutosha na utt coz im a member.wakuu hii imekaje
Nilikua nime deposite hela utt kupitia nmb sim app lakin mpaka sasa inasoma zero
Shehe ni baada ya siku tatu ndio issue yako inakuwa imeshafanyiwa kazi,so vuta subira,nina experience ya kutosha na utt coz im a memberwakuu hii imekaje
Nilikua nime deposite hela utt kupitia nmb sim app lakin mpaka sasa inasoma zero
Namba zao kweli ni wazito sana kupokea sometimes,bt utt is real na hamna mazonge zonge.hizi namba hawapokei
mkuu we ulianza mwaka gan??Shehe ni baada ya siku tatu ndio issue yako inakuwa imeshafanyiwa kazi,so vuta subira,nina experience ya kutosha na utt coz im a member
Namba zao kweli ni wazito sana kupokea sometimes,bt utt is real na hamna mazonge zonge.
Kama sikosea ni kati 2020 au 2021. Ila kuna watu wana miaka zaidi ya kumi utt wako humu,ndio walioni inspire.mkuu we ulianza mwaka gan??