VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 545
- Thread starter
- #81
kama mpenzi wangu kwahiyo usigande.. 😇[emoji23][emoji23][emoji23]kama dada wifi au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama mpenzi wangu kwahiyo usigande.. 😇[emoji23][emoji23][emoji23]kama dada wifi au
kama mpenzi wangu kwahiyo usigande.. 😇[emoji23][emoji23][emoji23]kama dada wifi au
Shida ilianzia hapo.wewe jifanye uelewi utajua hujuiHatukuwa na mahusiano ya pesa nilimpa kile anachotaka ndio maana hakuwa na mtu mwingine!
kama mpenzi wangu kwahiyo usigande.. [emoji56]
pesa mchawi aisee! nimeamini🤣Shida ilianzia hapo.wewe jifanye uelewi utajua hujui
Mwamba ameshaumaliza mwendo tayari.Awwww Mungu akutangulie
AmenAwww maskini Mungu akupiganie
AmenAwwww Mungu akutangulie
chamsingi usioe malaya, hata kama unapesa kama bilgate mkeo ataliwa mpaka na house boy.Atakuwa kaona huna hela wewe, jitahidi kusaka pesa usiku na mchana ukifanikiwa kuzipata nakuhakikishia atarudi na kukupa kila ukitarajiacho
Ukute hata hujawahi kumuona live🤣mpaka naposti kwenye public ujue ni mwanamke wa kipekee na nimemwelewa zaidi dunia nzima itambue love is real
asante mkuuPm yake nayo kafunga?
Muunganishe na washega professional wamo wengi humu jf wakusaidie kumlainisha roho[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
looks zipo deceiving bhana😉Ukute hata hujawahi kumuona live🤣