Nime mmiss miss chaga

Number yake nnayo na picha yake nnayo,nilicheza na saikolojia yake kidogo tu maana nilikuwa nayajua madhaifu yake,alivyoona nimepata picha yake akabadili ID hahaaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kucheza na akili ya mwanamke Ni kitu kidogo sana
 
Hiyo namba yake na picha yake baada ya wewe kuvipata,vimekusaidia nini katika maisha?
 
Na huku hata kama mtu hatupo naye tena ni vigumu kujua.
 
we unatafuta watu.. 😱😱😱
 
Sasa wewe unammis bure bure tu hebu mrushie japo laki 3 aweke vocha.πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 

Mkuu una tabia moja mbaya sana...

Hii ni tabia ya boys,men can never be like this!

Mzee ungepewa k.uma aisee si ingekua matatizo?

Mwanaume jifunze kua kimya na msiri,yeye kukupa jina,namba na picha ni highest level of respect kakupa,ila ulivyojuha mpaka sasa hivi you talk like this proudly like a lunatic!

What a waste of a baby man!
 

Ovyo.

Kuna vivulana viboya kweli. Simu na picha tu ndo unakuja kujitapa hapa.
 

Yaani wewe mkaka pokea bonge la 5 kutoka kwangu mie Karucee.

My exact sentiments.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…