Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
kunywa maji mengi tu antbiotics haina noma sana na hua inategemea uzito ulio naohabarini wakuu,
siku 3 nyuma nilienda hospital kupima nikakutwa na typhod na malaria 9. Sasa dr akaniandikia metakeflin na cypro mg 500.
Metakeflen nimemeza vyema lakini cypro nimemeza vidonge viwili asubuhi na viwili mchana leo siku ya tatu sasa kuna best angu kaja hapa ndo ananishtua kuwa nime overdose hata sijui cha kufanya nishaurini plz.
Mwili uko poa zaidi najiskia kuchoka tu na kuna time tumbo linachafuka
asanteni wadau manake kabla sijajua kama nime overdose nlikua normal tu eti baada ya kushtukia chezo ndo naanza kujihisi vibaya kweli hofu kitu kibaya sana
usihofu mkuu antibiotic haina noma wewe endelea na dozi yako ya siku tano 500mg kidonge kimoja na inabidi hizo uendelee kutumia until mpaka hizo siku tano ziishe umeze na panadol na maji mengi ili kuongeza excretion ya hizo dawä
Kunywa maji ya madafu
nusu kaputi unazingua, tangu lini typhoid tunatibu kwa siku tano? panadol pia vipi?