Nime wamiss sana wanaume wa humu

Palina popote ulipo nami nimejikuta nmekumisi tuu
 
Mhhhh, Watanga nyie kwa mapishi tu Mashaallah, hayo makopa ya nazi yakoje hayoπŸ˜›
Hahaaaa. Ngoja nikuandalie namna ya kuyapika kisha nikuletee Sesten.

Hivyo huyajui haya. Kule naniliu ee kule kwa kina Kush kulee [emoji12] [emoji12] huwa ikifika asubuhi sokoni yamejaa tele yanauzwa.
 
Hahaaaa. Ngoja nikuandalie namna ya kuyapika kisha nikuletee Sesten.

Hivyo huyajui haya. Kule naniliu ee kule kwa kina Kush kulee [emoji12] [emoji12] huwa ikifika asubuhi sokoni yamejaa tele yanauzwa.
Utafanya nifunge safari ya kule nikajionee mwenyewe ujue, maana sikumbuki kuona hii menu kabisaa! Au sijui mapishi wanayo mengi mpaka nikachanganyikiwa

Haya nasubiria uniletee nionje, si ndio wakuna nazi hapo saivi Hajar?πŸ™‚πŸ˜‰πŸ˜›
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hivyo bila kupiga vyombo huchangamki eee.

Sa sijui itakuwaje kwa kweli sababu Hajar na hivyo Vyombo ni kama maji na mafuta. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
You dont know what you are missing HajarπŸ™‚πŸ˜‰πŸ˜›
 
Ni kibanga meno bana Hajar sio kibanda menoπŸ˜€πŸ˜€
Hahahaa. Umeona sasa umepata kunirekebisha sababu na Uzee wangu wote huu [emoji12] [emoji12] mie huwa naita Kibanda meno kumbe ni kibanga meno.

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hahahaa. Umeona sasa umepata kunirekebisha sababu na Uzee wangu wote huu [emoji12] [emoji12] mie huwa naita Kibanda meno kumbe ni kibanga meno.

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Eti 'Na Uzee wangu"..... Kwa uzee upi ulionao wee mtoto wa Kitanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…