Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
Heshima kwenu wakuu.
Nimejaribu kuwekeza kwenye sekta ya usafirishaji kwa mda sasa yaani daladala . Ni shida kubwa sana kufanya hii kazi , ziko sababu kazaa kwa uzoefu wangu.
(1) Trafiki wana mtazamo hasi kuhusu magari haya ya daladala, kwa hiyo wawapo barabarani huwa wanajiandaa kupambana utadhani ni vita. Nimejionea hili mwenyewe , kwani wakati fulani hupata mda wa kuendesha mwenyewe. Unatozwa faini mpaka unakoma. Kwa wale ambao mnataka kuingia kwenye hii sekta jiandaeni na hili.
(2) Uhuni wa madereva na makondakta. Ni ngumu sana kupata dereva mwaminifu atakayeweza kukupa pesa na kuitunza gari yako. Wanaweza ukapewa pesa siku kadhaa lakini gari ikawa imehalibiwa vibaya mno kiasi kwamba ukipeleka gereji pesa zote zinatumika , na zingine zitakutoka kwenye mshahara wako.
Sina nia ya kutisha watu bali ninachoeleza ni uzoefu wangu katika hii biashara. Nadhani iko kasoro mahali fulani lazima ilekebishwe.
Nimejaribu kuwekeza kwenye sekta ya usafirishaji kwa mda sasa yaani daladala . Ni shida kubwa sana kufanya hii kazi , ziko sababu kazaa kwa uzoefu wangu.
(1) Trafiki wana mtazamo hasi kuhusu magari haya ya daladala, kwa hiyo wawapo barabarani huwa wanajiandaa kupambana utadhani ni vita. Nimejionea hili mwenyewe , kwani wakati fulani hupata mda wa kuendesha mwenyewe. Unatozwa faini mpaka unakoma. Kwa wale ambao mnataka kuingia kwenye hii sekta jiandaeni na hili.
(2) Uhuni wa madereva na makondakta. Ni ngumu sana kupata dereva mwaminifu atakayeweza kukupa pesa na kuitunza gari yako. Wanaweza ukapewa pesa siku kadhaa lakini gari ikawa imehalibiwa vibaya mno kiasi kwamba ukipeleka gereji pesa zote zinatumika , na zingine zitakutoka kwenye mshahara wako.
Sina nia ya kutisha watu bali ninachoeleza ni uzoefu wangu katika hii biashara. Nadhani iko kasoro mahali fulani lazima ilekebishwe.