Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nimeacha kuishabikia Arsenal

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Wakuu nimeamua kwa hiyari yangu na pasipo kulazimishwa na mtu yoyote kuitosa club ya Arsenal.Nina sababu nyingi za kuitosa The Gunners.

[1] Kukwepa magonjwa ya moyo.

[2] Imeshindwa kutwaa kikombe chochote kwa muda mrefu sana.

[3] Arsenal imekuwa gulio la kuuza wachezaji wake mahiri kwa Club nyingine

Baada ya kutafakari kwa kinaa na bila kushawishiwa au kulazimishwa na mtu au kikundi chochote nimeamua kujiunga na Club ya Manchester United yenye kutumia uwanja Old Trafold.Zipo sababu kibao lakini nitazitaja chache.

[1] Manchester United inaongozwa na manager mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wote wa UK.

[2] Manchester United imechukua ubingwa wa ligi kuu ya UK mara 19,timu inayoikaribia ni Liverpool pekee yake imechukua ubingwa mar 18 tu.

[3] Manchester United inakaribia kuweka rekodi mpya kwa kuchukua ubingwa mara 20, mpaka leo hii inaongoza ligi kwa tofauti ya point 12.

[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.

[5] Mwaka 1999 iliweka historia kwa kuchukua vikombe vitatu.Ubingwa wa ulaya.ubingwa wa Uk na Kombe la ligi.

[6] Mashabiki wa Manchester United ni wakarimu, wapole na wenye kujua kuchambua soka. Sifa hizo zinanihakikishia kwamba nitapokelewa vizuri.

Wapenzi wa Arsenal mtanisamehe sana kuhama club ni jambo la kawaida kwa mashabiki kama ilivyo kawaida kwa wachezaji. Siwezi kuendelea kusononeka hapa duniania kisa kupenda Club mbovu.

Nakala: Wacha1 Idimi Belo Steve Dii Mphamvu Dark City gfsonwin The Boss BAK Rejao Viper mfarisayo MwafrikaHalisi Kibunango Maxence Melo EMT Balantanda Mwita Maranya
 
Wewe ni "glory hunter". Na Watanzania wengi wako hivyo, mnashabikia timu inayofanya vizuri na si mapenzi ya timu kama timu. Unadhani watu wanotoka Highbury Street huko London wanaweza kushabikia timu tofauti??? Hamia Man U.

Btw: Mimi chama langu ni Norwich City tangu enzi hizo nchi hii hatujui TV ni nini! Kabla hujauliza niliwajulia wapi; Norwich City walitembelea Tanzania (but I don't remember the year) baba yangu alinipeleka kuwaona wakicheza na Yanga. I got hooked to them todate, washuke wapande nipo nao tu.
 
Nilifikiri unaizungumzia Arsenal, kumbe unaizungumzia Marefa United. Hata mimi najua ina mafanikio sana, ndio klabu pekee yenye kusajili wachezaji na marefa pia.

Kuhusu Arsenal kutochukua vikombe miaka mingi, utakuwa unaumwa wazimu.

Chelsea walisubiri miaka 40

Manchester City miaka 35

Je washabiki wao wamekufa na hayo magonjwa?
Je ni Arsenal peke yake ndio haichukui? Vipi kuhusu West Ham, Everton n.k?
 
Mkuu Mtoboasiri utanisamehe sana nakwepa magonjwa mkuu wangu ha ha ha ha ha.

Wewe ni "glory hunter". Na Watanzania wengi wako hivyo, mnashabikia timu inayofanya vizuri na si mapenzi ya timu kama timu. Unadhani watu wanotoka Highbury Street huko London wanaweza kushabikia timu tofauti??? Hamia Man U.

Btw: Mimi chama langu ni Norwich City tangu enzi hizo nchi hii hatujui TV ni nini! Kabla hujauliza niliwajulia wapi; Norwich City walitembelea Tanzania (but I don't remember the year) baba yangu alinipeleka kuwaona wakicheza na Yanga. I got hooked to them todate, washuke wapande nipo nao tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu Mwana Mtoka Pabaya kwani kuhama timu ugomvi mbona wachezaji wanahama ha ha ha ha ha.Hivi huoni furaha niliyonayo baada ya kuhamia Man United.

Nilifikiri unaizungumzia Arsenal, kumbe unaizungumzia Marefa United. Hata mimi najua ina mafanikio sana, ndio klabu pekee yenye kusajili wachezaji na marefa pia.

Kuhusu Arsenal kutochukua vikombe miaka mingi, utakuwa unaumwa wazimu.

Chelsea walisubiri miaka 40

Manchester City miaka 35

Je washabiki wao wamekufa na hayo magonjwa?
Je ni Arsenal peke yake ndio haichukui? Vipi kuhusu West Ham, Everton n.k?
 
Last edited by a moderator:
Nani alikwambia haya maneno wewe Ngongo?

[6] Mashabiki wa Manchester United ni wakarimu,wapole na wenye kujua kuchambua soka.Sifa hizo zinanihakikishia kwamba nitapokelewa vizuri.

Ndiyo maana nimekataa kukugongea LIKE.....You just soft hearted!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:

[2] Imeshindwa kutwaa kikombe chochote kwa muda mrefu sana.
Ukitoa Blackburn, Arsenal, Chelsea na Man U (hivi ni timu ngapi zimeshawahi kuchukua Premier League ?)


[3] Arsenal imekuwa gulio la kuuza wachezaji wake mahiri kwa Club nyingine

Ni kweli mkuu ila hii ni kazi nzuri ya Wenger kutokutaka ku-break the Bank timu nyingine zote zinauwa Team zao kwa ku-overspend...


[1] Manchester United inaongozwa na manager mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wote wa UK.
Players, Managers come and go but fans stay forever..


[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.
Spending Power ya Manchester na Investment lazima utegemee makombe kila mara ila bado wana-underperform hususan kwenye Champions League, return ya investment yao ni duni.
[5] Mwaka 1999 iliweka historia kwa kuchukua vikombe vitatu.Ubingwa wa ulaya.ubingwa wa Uk na Kombe la ligi.
Hata Arsenal iliweka historia ya kwenda all season unbeaten na Liverpool imechukua makombe Champions League kuliko wengine England

[6] Mashabiki wa Manchester United ni wakarimu,wapole na wenye kujua kuchambua soka.Sifa hizo zinanihakikishia kwamba nitapokelewa vizuri.
Nadhani haujakaa UK na wala huwajui washabiki wa Manchester United "Hawa wanaitwa Glory Hunters" Yaani mwaka kesho timu kama chelsea ikifanya vyema kwa miaka mingi huenda wakaamia Chelsea yaani ni wakimbiza mafanikio basi, washabiki wakarimu na wa kweli angalao Scousers (liverpool Fans)
 
Sawa sun wu lakini nimeshahama hivyo.

Ukitoa Blackburn, Arsenal, Chelsea na Man U (hivi ni timu ngapi zimeshawahi kuchukua Premier League ?)




Ni kweli mkuu ila hii ni kazi nzuri ya Wenger kutokutaka ku-break the Bank timu nyingine zote zinauwa Team zao kwa ku-overspend...



Players, Managers come and go but fans stay forever..



Spending Power ya Manchester na Investment lazima utegemee makombe kila mara ila bado wana-underperform hususan kwenye Champions League, return ya investment yao ni duni.

Hata Arsenal iliweka historia ya kwenda all season unbeaten na Liverpool imechukua makombe Champions League kuliko wengine England


Nadhani haujakaa UK na wala huwajui washabiki wa Manchester United "Hawa wanaitwa Glory Hunters" Yaani mwaka kesho timu kama chelsea ikifanya vyema kwa miaka mingi huenda wakaamia Chelsea yaani ni wakimbiza mafanikio basi, washabiki wakarimu na wa kweli angalao Scousers (liverpool Fans)
 
Last edited by a moderator:
Suala la mtu kuhama kushabikia from timu moja hadi nyingine kwa kweli mi haliniingii akilini and I get puzzed how can one dare to do that...!
Si kwamba sisi mashabiki wa Simba tunapenda mwenendo wa timu yetu, lakini tulianza kushabikia tukiwa na sababu tofautitofauti ambazo leo hii mtu akwambie hamia Yanga eti kwa sababu inamwenendo mzuri kwenye VPL sijui kama utaweza.
Vilevile, siamini kama inawezekana mtu uliyependa kushabikia say Arsenal, leo hii unaweza kwa urahisi kabisa Man U, au Totenham...! Siamini, labda kama ungesajiliwa kuchezea from one team to another lakini siyo kushabikia.
Ninachokiamini mimi ni kuwa: Ni rahisi kuacha upenzi wa chama cha Siasa ukahamia kingine (kwa sababu nyingi tu), au kuacha kumpenda demu uliye naye ukampenda mwingine lakini si rahisi kuhama kushabikia club yeyote ukahamia nyingine eti kisa inashinda sana...!
 
Back
Top Bottom