Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,319
Nadhani nimeelewa ulichokimaanisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nimeamua kwa hiyari yangu na pasipo kulazimishwa na mtu yoyote kuitosa club ya Arsenal.Nina sababu nyingi za kuitosa The Gunners.
[1] Kukwepa magonjwa ya moyo.
[2] Imeshindwa kutwaa kikombe chochote kwa muda mrefu sana.
[3] Arsenal imekuwa gulio la kuuza wachezaji wake mahiri kwa Club nyingine
Baada ya kutafakari kwa kinaa na bila kushawishiwa au kulazimishwa na mtu au kikundi chochote nimeamua kujiunga na Club ya Manchester United yenye kutumia uwanja Old Trafold.Zipo sababu kibao lakini nitazitaja chache.
[1] Manchester United inaongozwa na manager mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wote wa UK.
[2] Manchester United imechukua ubingwa wa ligi kuu ya UK mara 19,timu inayoikaribia ni Liverpool pekee yake imechukua ubingwa mar 18 tu.
[3] Manchester United inakaribia kuweka rekodi mpya kwa kuchukua ubingwa mara 20, mpaka leo hii inaongoza ligi kwa tofauti ya point 12.
[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.
[5] Mwaka 1999 iliweka historia kwa kuchukua vikombe vitatu.Ubingwa wa ulaya.ubingwa wa Uk na Kombe la ligi.
[6] Mashabiki wa Manchester United ni wakarimu, wapole na wenye kujua kuchambua soka. Sifa hizo zinanihakikishia kwamba nitapokelewa vizuri.
Wapenzi wa Arsenal mtanisamehe sana kuhama club ni jambo la kawaida kwa mashabiki kama ilivyo kawaida kwa wachezaji. Siwezi kuendelea kusononeka hapa duniania kisa kupenda Club mbovu.
Nakala: Wacha1 Idimi Belo Steve Dii Mphamvu Dark City gfsonwin The Boss BAK Rejao Viper mfarisayo MwafrikaHalisi Kibunango Maxence Melo EMT Balantanda Mwita Maranya
Duh! Mkuu Ngongo salam zao kule MANU wacha siye wenye roho ngumu tuendelee na maumivu yetu ambayo yanaweza kabisa kusababisha magonjwa ya moyo. Ila unakaribishwa kurudi GUNNERS wakati wowote utakaojisikia kufanya hivyo na tutakupokea kwa mikono miwili na bonge la party. Tukishamtosa AW basi kuna uwezekano mkubwa katika siku za usoni tukawa na timu nzuri ambayo inaweza kabisa kusimama kwa dakika 90 na MANU au MANC na kuchukua 3 points bila ajizi yoyote.
Manchester United and Leeds United fans returned English football to the dark days of the 1980s with fighting outside Elland Road and taunting inside.
History between the two sets of supporters has always been tense and they continued in the same vein during the Red Devils 3-0 Carling Cup win on Tuesday night.
Two police officers were injured and 21 people were arrested in trouble outside the ground as the fans fought each other.
Inside the stadium the abuse was dished out in the form of disgusting songs with each side taunting their opponents about painful episodes.
The Leeds crowd taunted the visitors with songs about the Munich air disaster, where 23 people were killed including many Manchester United players.
United fans were far from saints either as sections of their support sung about Istanbul and the murder of two innocent Whites fans.
:biggrin1: karibu sana kwenye chama chetu hapa huwezi kupata pressure za maisha hata siku na sisi ni wakarimu welevu na wapenda amani kama ulivosema mwenyewe hapo juu....nimeshakutayarishia kadi yako ya uanachama na naomba uje na Viper Richard MwafrikaHalisi Wacha1 kashengo na wengineo ambao kucha wanakosa usingizi kwa sababu ya policies za kijinga arsene wenger na ivan gazidis wanazofanya....WELCOME TO OLD TRAFFORD....BEST CLUB IN THE WORLD AND MOST SUCCESSFULL IN ENGLAND
mimi ni mshabiki wa liverpool
kuishabikia arsenal ni sawa tu na kuishabikia totenham
wao wanatafuta 'the fourth place' kila mwaka
:biggrin1: karibu sana kwenye chama chetu hapa huwezi kupata pressure za maisha hata siku na sisi ni wakarimu welevu na wapenda amani kama ulivosema mwenyewe hapo juu....nimeshakutayarishia kadi yako ya uanachama na naomba uje na Viper Richard MwafrikaHalisi Wacha1 kashengo na wengineo ambao kucha wanakosa usingizi kwa sababu ya policies za kijinga arsene wenger na ivan gazidis wanazofanya....WELCOME TO OLD TRAFFORD....BEST CLUB IN THE WORLD AND MOST SUCCESSFULL IN ENGLAND
Mkuu Mtoboasiri utanisamehe sana nakwepa magonjwa mkuu wangu ha ha ha ha ha.
Mkuu wangu Mwana Mtoka Pabaya kwani kuhama timu ugomvi mbona wachezaji wanahama ha ha ha ha ha.Hivi huoni furaha niliyonayo baada ya kuhamia Man United.
Nenda mwana kwenda.Una tabia kama za Shonza.