Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nimeacha kuishabikia Arsenal

ngogo unadhani hiyo Man United itadumu ktk hali hiyo milele? Kujipeleka kwako Man United ni sawa na mwanaume kumuoa mwanamke usiyempenda eti kisa ana pesa, utaishia kutoka nje ya ndoa kila wakati.
Hata wewe ngogo ulivyojifanya kuhamia Man United lakini bado wewe ni Arsenal fc fan na utaendelea kuishabikia kimya kimya.
 
Last edited by a moderator:
Duh! Mkuu Ngongo salam zao kule MANU wacha siye wenye roho ngumu tuendelee na maumivu yetu ambayo yanaweza kabisa kusababisha magonjwa ya moyo. Ila unakaribishwa kurudi GUNNERS wakati wowote utakaojisikia kufanya hivyo na tutakupokea kwa mikono miwili na bonge la party. Tukishamtosa AW basi kuna uwezekano mkubwa katika siku za usoni tukawa na timu nzuri ambayo inaweza kabisa kusimama kwa dakika 90 na MANU au MANC na kuchukua 3 points bila ajizi yoyote.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nimeamua kwa hiyari yangu na pasipo kulazimishwa na mtu yoyote kuitosa club ya Arsenal.Nina sababu nyingi za kuitosa The Gunners.

[1] Kukwepa magonjwa ya moyo.

[2] Imeshindwa kutwaa kikombe chochote kwa muda mrefu sana.

[3] Arsenal imekuwa gulio la kuuza wachezaji wake mahiri kwa Club nyingine

Baada ya kutafakari kwa kinaa na bila kushawishiwa au kulazimishwa na mtu au kikundi chochote nimeamua kujiunga na Club ya Manchester United yenye kutumia uwanja Old Trafold.Zipo sababu kibao lakini nitazitaja chache.

[1] Manchester United inaongozwa na manager mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wote wa UK.

[2] Manchester United imechukua ubingwa wa ligi kuu ya UK mara 19,timu inayoikaribia ni Liverpool pekee yake imechukua ubingwa mar 18 tu.

[3] Manchester United inakaribia kuweka rekodi mpya kwa kuchukua ubingwa mara 20, mpaka leo hii inaongoza ligi kwa tofauti ya point 12.

[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.

[5] Mwaka 1999 iliweka historia kwa kuchukua vikombe vitatu.Ubingwa wa ulaya.ubingwa wa Uk na Kombe la ligi.

[6] Mashabiki wa Manchester United ni wakarimu, wapole na wenye kujua kuchambua soka. Sifa hizo zinanihakikishia kwamba nitapokelewa vizuri.

Wapenzi wa Arsenal mtanisamehe sana kuhama club ni jambo la kawaida kwa mashabiki kama ilivyo kawaida kwa wachezaji. Siwezi kuendelea kusononeka hapa duniania kisa kupenda Club mbovu.

Nakala: Wacha1 Idimi Belo Steve Dii Mphamvu Dark City gfsonwin The Boss BAK Rejao Viper mfarisayo MwafrikaHalisi Kibunango Maxence Melo EMT Balantanda Mwita Maranya

shabiki wa manure huwa hafichiki..
 
Duh! Mkuu Ngongo salam zao kule MANU wacha siye wenye roho ngumu tuendelee na maumivu yetu ambayo yanaweza kabisa kusababisha magonjwa ya moyo. Ila unakaribishwa kurudi GUNNERS wakati wowote utakaojisikia kufanya hivyo na tutakupokea kwa mikono miwili na bonge la party. Tukishamtosa AW basi kuna uwezekano mkubwa katika siku za usoni tukawa na timu nzuri ambayo inaweza kabisa kusimama kwa dakika 90 na MANU au MANC na kuchukua 3 points bila ajizi yoyote.

huyo ni manure anataka kuuza sura tu..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwani ulipokuja Arsenal ulitangaza?. Nafikiri hujui hata kinachokupeleka Man U na baada ya miaka miwili siyo ajabu ukarudi tena ulikotoka kwa sababu huyo Manager unayemfuata atakuwa amestaafu na sheria ya matumizi kulingana na uwezo itakuwa imeanziswa.

Eti washabiki wa Man U wapole, my foot.

Manchester United and Leeds United fans returned English football to the dark days of the 1980s with fighting outside Elland Road and taunting inside.
History between the two sets of supporters has always been tense and they continued in the same vein during the Red Devils 3-0 Carling Cup win on Tuesday night.
Two police officers were injured and 21 people were arrested in trouble outside the ground as the fans fought each other.
Inside the stadium the abuse was dished out in the form of disgusting songs with each side taunting their opponents about painful episodes.
The Leeds crowd taunted the visitors with songs about the Munich air disaster, where 23 people were killed including many Manchester United players.

United fans were far from saints either as sections of their support sung about Istanbul and the murder of two innocent Whites fans.
 
:biggrin1: karibu sana kwenye chama chetu hapa huwezi kupata pressure za maisha hata siku na sisi ni wakarimu welevu na wapenda amani kama ulivosema mwenyewe hapo juu....nimeshakutayarishia kadi yako ya uanachama na naomba uje na Viper Richard MwafrikaHalisi Wacha1 kashengo na wengineo ambao kucha wanakosa usingizi kwa sababu ya policies za kijinga arsene wenger na ivan gazidis wanazofanya....WELCOME TO OLD TRAFFORD....BEST CLUB IN THE WORLD AND MOST SUCCESSFULL IN ENGLAND

hahaha!! mtotowamjini h hongereni mmejipatia a Bandwagon/Glory Hunter ...... naomba wengine wajiondoe kabisa!

MKUU
Ngongo INCASE UKITAKA KURUDI TUNAKUKARIBISHA KWA MIKONO MIWILI
 
mimi ni mshabiki wa liverpool

kuishabikia arsenal ni sawa tu na kuishabikia totenham
wao wanatafuta 'the fourth place' kila mwaka


mkuu sasa kushabikia liver pool si bora qpr !
 
:biggrin1: karibu sana kwenye chama chetu hapa huwezi kupata pressure za maisha hata siku na sisi ni wakarimu welevu na wapenda amani kama ulivosema mwenyewe hapo juu....nimeshakutayarishia kadi yako ya uanachama na naomba uje na Viper Richard MwafrikaHalisi Wacha1 kashengo na wengineo ambao kucha wanakosa usingizi kwa sababu ya policies za kijinga arsene wenger na ivan gazidis wanazofanya....WELCOME TO OLD TRAFFORD....BEST CLUB IN THE WORLD AND MOST SUCCESSFULL IN ENGLAND

:nono::nono::nono:
 
Asenali Bana!!!!!!

Bado sitafanya uamuzi ...nasubiria tena miaka 5 Wenger atakuwa mzee!!

We shall be back again!
 
Mimi Arsenal kwa EPL, Kwa Spain nipo Barca na Real Madrid zote nazipenda ila sanasana Real Madrid, kwa Italy Juventus tangu zamani na niliijua ilipocheza na timu ya Parma, mimi ni Arsenal kabisa nimeipenda hii timu tangu 1994 hadi leo pamoja na kutochukua makombe mengi bado mapenzi yangu yapo pale pale, sihami ng'o! eti niende Manure eti soka lao ni la uhakika???? hapana bana...!
 
Nikwambie ukweli wangu kwa mfano.

Naipenda Arsenal sina maneno ya kuelezea upenzi wangu. Ikifungwa naipenda zaidi kwa sababu inanihitaji na mimi naihitaji. Ikishinda imetimiza wajibu wake.

Kitu cha msingi ni aina ya mpira wanaocheza. Cha pili kiuchumi hawatakuja pata hasara.

Uingereza haina wenye nchi wanaoshinikiza apate makombe.

Uwanjani mechi zote za Arsenal ndizo zinazoa mashabiki na mapato na inategemewa sana kimapato na timu zingine.

Siamini kama kufungwa Arsenal kuna uhusiano na mpira bali ni matokeo yanayoweza kuwa ya kweli au yakupangwa.

Zaidi na mwisho ni kiwanda cha wachezaji wa uhakika RVP, Walcot, Wilshere na kapteni wake aliyeko bacelona. Hata wewe Ngongo ukisajiliwa na kukaa Arsenal mwaka mmoja tu utapata bei kwa timu ye yote unayoiota.
 
Mkuu wangu Mwana Mtoka Pabaya kwani kuhama timu ugomvi mbona wachezaji wanahama ha ha ha ha ha.Hivi huoni furaha niliyonayo baada ya kuhamia Man United.

Jiandae kuhama tena, soon mara baada ya kustaafu Ferguson, marefa wataacha uoga na kuchezesha mpira kwa haki. Huo ndio utakuwa mwisho wa glory days of OT
 
Back
Top Bottom