Nimeacha kuishabikia Arsenal

Kunatimu kubwa naamini hawatachukua epl kwa miaka ishirini na tano tokea wachukue mara ya mwisho.
1. Arsenal huu ni mwaka wa 16 unaelekea
2. Man u huu ni mwaka wa 7 km sijakosea.
Hizi timu mbili zinaweza kuja kukarbia historia iliyowakuta liverpool
 
Liverpool ni miaka mingapi??
Kunatimu kubwa naamini hawatachukua epl kwa miaka ishirini na tano tokea wachukue mara ya mwisho.
1. Arsenal huu ni mwaka wa 16 unaelekea
2. Man u huu ni mwaka wa 7 km sijakosea.
Hizi timu mbili zinaweza kuja kukarbia historia iliyowakuta liverpool
 
Goal la Greenwood unaweza kuombea mkopo
 
Ni mwendo wa tatu tatu tu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…