Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nawakumbusha msimamo wangu bado upo pale pale.Nadhani juzi wote mtakubaliana na uamuzi wangu ulikuwa sahihi.

Magoli ya Man unaweza kuyaombea mkopo mkubwa bank na ukapewa bila wasiwasi.
 

Tulia dawa iwaingie taratibu.
 
Kwa hii Arsenal ya Arteta siondoki.

Pale anatakiwa awepo kiungo mkabaji wa maana maisha yaendelee.
 

Huyu Mwamba kaleta balaa kubwa
 
Uliruka mkojo ukakanyaga inya!
Ulichokimbia Arsenal ndo hicho unachopambana nacho Man U huku wenzio uliowaacha wanakula maini sasahivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…