Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nimeacha kuishabikia Arsenal

Huyu Unai Emery kocha wa hovyo sana hawezi kuifikisha hii timu popote bora mara 100 wampe hata Mwinyi Zahera
 
Komredi Kipepe au Pepe Kale
IMG_20191021_235647.jpeg
 
Ushabiki ni uteja wakiwango cha juu zaid ukishaingia huko kutoka ni habar nyingine utasema tu sishangilii tena ila wanapofungwa unaumia vibaya mnoo na unaweza pata matatizo makubwa kwakuwa unaumia ndani kwa ndani
 
Back
Top Bottom