Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 320
Kwakweli lazima atakuwa kishamegwa na mnaendelea kumega, halafu mimi wa mkoani ndo nitunze??! aaah wapi.
Naona meseji zake akisema "kwahyo ndo hunitumii hela sio?!"...kumbe usikute anatype huku amekalia kitu hahahah!
Nilikuwa natuma hela kwaajili ya yake na mtoto, lakini saivi wapite kulia tu. Siwezi kulelea watu wa Dar.
Naona meseji zake akisema "kwahyo ndo hunitumii hela sio?!"...kumbe usikute anatype huku amekalia kitu hahahah!
Nilikuwa natuma hela kwaajili ya yake na mtoto, lakini saivi wapite kulia tu. Siwezi kulelea watu wa Dar.