We sio mshabiki ni bendera fuata upepo, brazil alipigwa wiki kama stars, mashabiki wake walilia na kuomboleza, baada ya muda wakasahau maisha yanasonga, na mpaka muda huu anaongoza goli moja dhidi ya peru, tumecheza na timu bora na wachezaji wa ligi mbalimbali duniani we unafikiri ni nini kitatokea:what: sisi tuna Samatta na Ulimwengu ndio wachezaji tunaowatupia macho, nafasi yetu ilikuwa hapa nyumbani, wachezaji wetu wangetulia tungewafunga mengi na sisi, tusife moyo, nchi ni yetu, timu ni yetu. tuiunge mkono.