Nimeacha Kushabikia Taifa Stars rasmi

Nimeacha Kushabikia Taifa Stars rasmi

Nikiwa na akili zangu timamu kabisa wala sijashawishiwa na mtu yoyote yule, kwa aibu hii tuliyoipata leo toka kwa Algeria, naacha kushabikia timu ya taifa, kutiana presha sipendi tena, japo nitaonekana sio Mzalendo ila potelea mbali.
makocha wazawa sijui wanalilia kazi ili wapate jina au? sioni kipya wanacholeta
 
Nikiwa na akili zangu timamu kabisa wala sijashawishiwa na mtu yoyote yule, kwa aibu hii tuliyoipata leo toka kwa Algeria, naacha kushabikia timu ya taifa, kutiana presha sipendi tena, japo nitaonekana sio Mzalendo ila potelea mbali.
makocha wazawa sijui wanalilia kazi ili wapate jina au? sioni kipya wanacholeta
 
Back
Top Bottom