Nimeacha kwenda kumsalimia nyumbani mdogo wangu kisa mambo haya ya kina katibu

Nimeacha kwenda kumsalimia nyumbani mdogo wangu kisa mambo haya ya kina katibu

Checnoris

Senior Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
123
Reaction score
269
Haya mambo yasikieni tu. Mwanamke ni nyoka ambayo inafanyakazi wakati wote. Wanawake wakiwa na changamoto iwe ya uzazi atasingizia mumewe. Nyumba ikiwa haina pesa kosa la mwanaume, mwanaume usipotoa show safi kosa.

Nimeacha kutembelea nyumbani kwa ndugu kisa hawa wanawake, nashukuru sana ikiwa una idea ya kuepukana na haya masuala!
 
Haya mambo yasikieni tu. Mwanamke ni nyoka ambayo inafanyakazi wakati wote. Wanawake wakiwa na changamoto iwe ya uzazi atasingizia mumewe. Nyumba ikiwa Haina pesa kosa la mwanaume, mwanaume usipotoa show safi kosa, nimeacha kutembelea nyumbn Kwa ndgu kisa Hawa wanawake..na shukuru Sana ikiwa una idea ya kuepukana na haya masuala
Lakini mara nyingi matatizo ya mwanamke chanzo ni mwanaume.
 
Acha vijana wapambanie kiwanda kinachotembea Cha kuzalisha Gonorrhea, Kaswende,UTI sugu etc
Mtazinanga lakini haiondoi ukweli k zinawatoa akili vijana, zinawafanya akili zisifanye kazi sawa sawa ni utamu tu au kuna kingine?
 
Pata breakfast ya nguvu bill juu yangu
[emoji1545][emoji1752]
giphy.gif
 
Lakini maranyingi matatizo ya mwanamke chanzo ni mwanaume
Mshana chanjo cha dkk 2 zinazozungumzwa ni wanawake wanaojiuza

Mwanamke anayejiuza hataki hata ufikishe dakika 3 Hawa wetu wa Dar Ili aingize pesa atafute mwingine

Ndipo ulipoanza usemi wa amsha popo maana yake kijana anapiga Tako 3 mpaka 5 ashamaliza Ikawa imesambaa mpaka Sasa wao ndiyo wanakuja kulalama wanaume hawana nguvu

Hivi ni nchi Gani zaidi yetu ya Tanzania wanaolalamikia wanaume kukosa nguvu za kiume!? Kama utasema Kenya wao walishajipambanua kuwa chanzo cha hao ni wanaume kuwa walevi kupindukia

Kwetu Huku .....
 
Back
Top Bottom