Nimeacha kwenda kumsalimia nyumbani mdogo wangu kisa mambo haya ya kina katibu

Nimeacha kwenda kumsalimia nyumbani mdogo wangu kisa mambo haya ya kina katibu

siku hizi vijana hawaangamii kwa kukosa maarifa bali papuchi
Hata wazee.
1664882368943.png
 
Acha utani, unataka kuniambia kwamba huyu mshana Jr ana mke mmoja tuu kweli? Hadi wewe utake kuwa wa pili?
Mtake radhi unajua ni mtu mkubwa sana kuwa na mke mmoja unamuangusha.
Hata mke wa sita nimeridhia.
Am in love 💙💙
 
Acha utani, unataka kuniambia kwamba huyu mshana Jr ana mke mmoja tuu kweli? Hadi wewe utake kuwa wa pili?
Mtake radhi unajua ni mtu mkubwa sana kuwa na mke mmoja unamuangusha.
unajua ni mtu mkubwa sana kuwa na mke mmoja unamuangusha.[emoji23]
 
Lakini mara nyingi matatizo ya mwanamke chanzo ni mwanaume.
na matatizo ya wanaume weng chanzo n wanaweke.... nusu ya robo ya maisha ya wanaume ktk dunia ya leo yapo chin ya mwanamke. leo hii asubh yako ipo chn ya mkeo mchan na uck yote ipo chini ya mkeo yan huduma zak karbia zote zipo chini ya mkeo.... ana uwezo wa kukfanyia chchte kile
 
na matatizo ya wanaume weng chanzo n wanaweke.... nusu ya robo ya maisha ya wanaume ktk dunia ya leo yapo chin ya mwanamke. leo hii asubh yako ipo chn ya mkeo mchan na uck yote ipo chini ya mkeo yan huduma zak karbia zote zipo chini ya mkeo.... ana uwezo wa kukfanyia chchte kile
Well said
 
Back
Top Bottom