Nimeacha pombe kupitia mkesha wa pasaka hii

Nimeacha pombe kupitia mkesha wa pasaka hii

Uache pombe ili uwe mchawi au nn? Pombe unapumzika tu kwa mfano ulivyokua unakesha kama sio pombe usingeweza kabisa.
Nakushauri tu punguza sio kuacha hiyo ni ngumu maana washkaji wakikuita mtakunywa pombe sio kitu kingine
 
Ndugu wanajamvi nimesikia uamuzi huu mkesha wasikuu wa jana nimekunywa bia takribani 15 (castle lager) KB tabata bima Aiseeee nilimpata mtoto mmoja mzuri sana anasoma chuo cha ualimu St merry lengo awe mwalimu tulikutana pale tumekunywa pamoja bia nililewa sana tumeondoka SAA 10 pale huwa kuna supu ya mbuz mda huo tumeondoka tukiwa tumepiga supu nimefika nikamgegeda mtoto wa watu nimemuachia SAA 9 mchana niliwakomalia lodge saaa 3 wanataka wanitoe nikawaambia mimi nimeingia Leo Tarehe ya Leo ntatoka kesho mpaka sasa mtoto ninae nimefikia uamuz huu baada ya kuamuka nimechoka nikikosa hamu ya chakula nakosa raza kabisa ya chakula nasema tena mie na pombe basi nimeacha Byeeee pombe kwanza unazeeeesha sikutaki.Ushauri wana JF tuacheni pombe wakuuu
Kapime ngoma
 
Pombe unaacha kwa kuongea na kahangover cha siku moja.. We kula supu na maji mengi flash sumu halafu kesho uje useme kitu hapa
 
Ndugu wanajamvi nimesikia uamuzi huu mkesha wasikuu wa jana nimekunywa bia takribani 15 (castle lager) KB tabata bima Aiseeee nilimpata mtoto mmoja mzuri sana anasoma chuo cha ualimu St merry lengo awe mwalimu tulikutana pale tumekunywa pamoja bia nililewa sana tumeondoka SAA 10 pale huwa kuna supu ya mbuz mda huo tumeondoka tukiwa tumepiga supu nimefika nikamgegeda mtoto wa watu nimemuachia SAA 9 mchana niliwakomalia lodge saaa 3 wanataka wanitoe nikawaambia mimi nimeingia Leo Tarehe ya Leo ntatoka kesho mpaka sasa mtoto ninae nimefikia uamuz huu baada ya kuamuka nimechoka nikikosa hamu ya chakula nakosa raza kabisa ya chakula nasema tena mie na pombe basi nimeacha Byeeee pombe kwanza unazeeeesha sikutaki.Ushauri wana JF tuacheni pombe wakuuu
SIO MBAYA MKUU
 
kuacha pombe kirahisi rahisi unafikiri ni mchezo eeeh
 
Back
Top Bottom