Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Kumbe Swahiba na weye ulikuwaga pande hizo. Duuh.Hongera zetu sote kwa pamoja mkuu, mimi tangu niache pombe nimejikita kwenye biashara ya pikipiki (bodaboda) 8 nimewapa vijana kila wiki wananiletea money pesa
Itabidi afanyiwe party ya kuacha pombe, vinywaji vikali na baridi viwepo ili kuhakiki kauli yake hiyo ya kuachana na pombe😀😀😀Hayo ni maamuzi mazuri sana, na pongezi sana kwa mafanikio hayo ulio yapata kwa kuacha pombe jamaaaa
Alikujibu?toka uache pombe umefanikiwa kufanya jambo gani la maana
Gongaaaaaa pombe mkuuWe acha tu sisi ngoja tuendelee kugonga monde, ni raha sana. Awamu hii wengi wamepumzika kugonga vitu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikujibu usisahau kuniita
Jina lako mkuu..Na mm nilikuaga mwenyekiti huku Arusha nisha acha ni miaka tano sasa, Asante Mungu
Mie nilikuwa naoga mkuu Hajar:Hahahaaaa. Kumbe Swahiba na weye ulikuwaga pande hizo. Duuh.