kama unaelewa hilo cha ajabu nini? maana ukishatolewa bk siku ya kwanza tayari wewe used.
wengine wanapenda kuelezewa ya zamani na wengine hawataki hata kujua labda issue ya 29 ikamsthua bora akae pembeni :A S 12:
itabidi niwe makini kweli kweli. ila ishu ya wapenzi 29 naona nisiweke siri bora niseme
mapema. ila nitasema ni 19. sbb nikimwambia 29 atadhani nimepnguza. teh teh
Ya 29 ndo nimejua leo BW. Hajaweza kunielewesha vizuri mambo kadhaa wa kadhaa ambayo naona hayajakaa sawa
Bora umegundua mapema...kuna formation fulani anayoitumia kupanga mashambulizi bado sijaielewahahahahaha endelea kumsoma utamwelewa amebadili namba imekuwa 19
hapo upo sawa, tubaki tu na ndoto yetu. hata mm nishaona sie wote vimeo kuwa pamoja.
Mimi nadhani lengo lake ni kutimiza 29, na siyo ku-do mara 29, akitamani itabidi arudi kwa mmoja wa wale wa past ili bado acheze kwenye 29............................Erotica darling, hongera sana kwa maamuzi yako. MUNGU akutangulia.
Ila kuna sehemu umesema you are a good lover so utajilove mwenyewe.................Sasa kama ulishazoea ku-du, ukijisikia ku-du wakati bado Mr. Husband hajapatikana umeshajiandaa utafanyaje? ?
MUNGU na akutangulie Mamii
Nataka mwanaume ambaye hana viporo. ambaye anamtaka Erotica tu!
nenda kwanza kamalizane na huyo ambae bado expiry haijaisha, then tutaongea!
Jana nimefikisha alama yangu ya 29. Nilitia nia ya dhati wakati nimefika miaka 20 kuwa
nikifikisha wapenzi 29 itakuwa mwihso wa kujihusisha na SEX. Mume wangu atakuwa ni wa 30.
Nimepita mengi kwenye mambo ya SEX, nimeona mengi na kila style na saizi.
Sasa inatosha! Kuanzia sasa nabadilika, akili na moyo wangu unataka hivo.
Ingawa napenda SEX penye nia pana njia. I am a good lover, nitaji love. Nitakuwa mke mwema na
mama mwema. nitam cherish mume wangu kwa masharti ya kusema nayeye ani cherish. nimeona
nisianze mbali sana, nishaanza kupeleka propasals kwa wana jf ambao nahisi wananifaa.
kusubiri nifatwe hali penye pontential nimepaona sio mpango!
Saizi nataka mwanaume wa kuingia naye katika mahusiano kabisa, nisitumie condom tupime
na afya zetu ikiwezekana hata nizae. tofauti ya sasa na kale sitakubali kudu hadi roho yangu iwe
inanifanya niumwe kama nilivo umwa juzi kati nikimuona. sikubali tu du hadi tufunge ndoa sitaki tena
kusali uongo uongo kila ninapotubu huku nikijua jioni yake naenda tena kudou.
wanajamvi najikabidhi kwenu kwa ushauri wa kuweza timiza nia yangu bila kushindwa hii azma yangu.
Nini Ero nifanye na nini niepuke? Makungwi wote wa mmu nitaomba tuition ya kuwa mke mwema.
Btw boyfie wa sasa wa mujini nimemuacha, hafai kuwa dady wala hubby. yeye anafaa ushikaji tu!
mwaaaaaaaaah! I feel born again. :whoo:
Certificate ya ndoa ya nini tena? Siku hizi matumizi yake makubwa ni kutunza amani ndani ya nyumba. Ina maana kuonyesha kuwa hutaki matani na mtu when it comes to family at home. Au nimekosea?
FirstLady1, umeamua kuikana ndoa yako leo au siku ile ulisema kwa kukosea?