Nimeacha usister niolewe na mwanajamiii yoyote

bahati nzuri huwa sipo jelous kabisa...kama yupo serious in a first place alitakiwa aweke post yake kule Love Connect.
huku hawa watu wanakuja kuzingua watu tu na ndio maana huwezi nikuta nahangaika nao...

Love connect kwenyewe kumevamiwa..watu wanatafuta mijimama ya kuwalea na mambo kibao ya ajabu..ilimradi sio shwari tena..
 
Hahahaha huyo na wasiwasi na chairman wa mahusiano CC baba vitoto

Wachawi utawajua tu, vipi hivi hadi leo hujampa mimba Madame B!?? au unasubiri wakusaidie!?? ngoja ile safari ya Tanga itoe majibu
 
Last edited by a moderator:
Mwanakondoo anatafuta mchungaji wa kumchunga!!!!
bwana akuweke katika mikono salama......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…