Acha usaliti wewe!Ndugu zangu nimeacha rasmi Uzinzi kuhangaika na Mademu wa kuokota njiani. Toka 1997 sijaona faida ya Uzinzi Zaid ya kutumia gharama kubwa na kujiweka hatarini na magonjwa ya UKIMWI/Zinaa/COVID. Pesa ya kulipia gesti na Pombe napeleka VICOBA tukutane May 2022.
Afadhali, hawaishi hawa mkuu, sana sana wewe ndio utakaeisha kwa huo uzinzi. Unaweza kutudokeza tokea umeanza mpaka ulipoishia wameshafika wangapi.....Ndugu zangu nimeacha rasmi Uzinzi kuhangaika na Mademu wa kuokota njiani. Toka 1997 sijaona faida ya Uzinzi Zaid ya kutumia gharama kubwa na kujiweka hatarini na magonjwa ya UKIMWI/Zinaa/COVID. Pesa ya kulipia gesti na Pombe napeleka VICOBA tukutane May 2022.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Sawa hela utaweka vicoba, nyege utaweka wapi ndugu yangu.....??!
hahahaha kmmmkNyege nitaleta kwako mlezi wa wana
Nimemsaidia....Kitimoto 😂
Afadhali mkuu🤝Nimemsaidia....
sawa mkuu , ila kuna watu wamenituma, wanasema eti...........................kwambaaa....uniachie namba za hao michepuko niwapeleke etiNdugu zangu nimeacha rasmi uzinzi kuhangaika na mademu wa kuokota njiani. Toka 1997 sijaona faida ya uzinzi zaidi ya kutumia gharama kubwa na kujiweka hatarini na magonjwa ya UKIMWI/Zinaa/COVID.
Pesa ya kulipia gesti na pombe napeleka VICOBA tukutane May 2022.
Una akili kiasi chake ila nakushangaa ulikuwa unalipa Guest muda wote huo kwani uishipo hakuna mapori ya kupeleka hao wadangaji? Utampelekaje mdangaji Guest wakati hastahili hata kitanda cha thamani? Demu mdangaji unampeleka porini tu analalia majani, unamsugua kisawasawa kisha mnaachana huko huko porini, unampa buku jero lake achukue baiskeli au boda boda arudi mjini.Ndugu zangu nimeacha rasmi uzinzi kuhangaika na mademu wa kuokota njiani. Toka 1997 sijaona faida ya uzinzi zaidi ya kutumia gharama kubwa na kujiweka hatarini na magonjwa ya UKIMWI/Zinaa/COVID.
Pesa ya kulipia gesti na pombe napeleka VICOBA tukutane May 2022.
Nani anataka kupigwa pichaUna akili kiasi chake ila nakushangaa ulikuwa unalipa Guest muda wote huo kwani uishipo hakuna mapori ya kupeleka hao wadangaji? Utampelekaje mdangaji Guest wakati hastahili hata kitanda cha thamani? Demu mdangaji unampeleka porini tu analalia majani, unamsugua kisawasawa kisha mnaachana huko huko porini, unampa buku jero lake achukue baiskeli au boda boda arudi mjini.
Kukimbia starahe sababu ya kufanya savings ni ulofa wa hali ya juu.Ndugu zangu nimeacha rasmi uzinzi kuhangaika na mademu wa kuokota njiani. Toka 1997 sijaona faida ya uzinzi zaidi ya kutumia gharama kubwa na kujiweka hatarini na magonjwa ya UKIMWI/Zinaa/COVID.
Pesa ya kulipia gesti na pombe napeleka VICOBA tukutane May 2022.
Kwani unaenda ili watu wakuone, mapori yapo mengi tu au ukiona vipi unampeleka makaburini maeneo ya huko kwenu.Nani anataka kupigwa picha