Juma WALEO
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 204
- 40
Nimekuwa shabiki mkubwa wa Baby Madaha lakini nimeacha kumshabikia kwani kwa heshima aliyonayo hakutakiwa kumkejeli Shilole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyoona tuu eti ameachana na baby madaha we ulijua jamaa yake nini ndio maana fasta ukaifungua?Una kazi aisee.......
halafu hiyo style yako ya uandishi ka kina shigongo vile
Ulivyoona tuu eti ameachana na baby madaha we ulijua jamaa yake nini ndio maana fasta ukaifungua?
Baby madaha hana hit singo?! Si kweli ndugu,kuna kitu cha Amore kila kamata anga mby miaka juz juz tu hapa. Sema tatizo wote ni ma mburula ila wanajifanya wajanja wa mji.