ata sijui wapi wallah mana atakua na mushkel kidogo mana nishawaambia sikubandika picha ya mtu ni mimi binafsi lakini bado anishitumu kuwa mimi ni jini ...lakini maa mushkel hakun tabu,,,
Duh! inaonyesha uko kikazi zaidi, hebu bandika na ya babsap wako bac!
sina wote hakuna alie nifaa hajazaliwa
kuna DNA, akiletewa noma home.hongera sana kwa hiyo umejipatia mtoto bila kumtolea jasho
Mmefanya vyema kwenda police labda huoyo dada aliona hana uwezo wa kutunza mtoto ni vema amuache katika mikono salama
Lakini una wife ?asije akakugeuzia kibao mheshimiwa
Mambo vipi wana JF!
Ngoja niwashirikishe kwenye hii issue iliyonikuta leo mornie wakati naelekea kwenye kibarua.
Nilikuwa nimekaa kwenye seat yangu fresh mara akaingia mdada amebeba mtoto mgongoni hata simfahamu akawa kakosa seat akaomba msaada kwangu nimsaidie kumshikia mtoto.
Nikawa nimembeba huyo malaika wa Mungu huku nakibembeleza kimevishwa vizuri kabisa kitoto cha kiume.
Time ya kushuka kwa stand tafuta yule dada haonekani,uliza kila abiria mwenye mtoto achukue mwanae hakuna kila mtu ananiangalia 2.
Ikabidi 2peleke gari police na abiria wote taratibu zote zikafuatwa ndo kwanza nime2lia.
Pls dadaz acheni kutelekeza watoto!!
Ninakuona kama jini kwa jinsi ulivyotokea kwenye avatar yako na hiyo lafudhi yako ya kiarabu. Hakika umeumbwa ukaumbika
Story imenikumbusha yule dogo aliyetupwa na mam yake Mwananyamala .Alipata msamria mapaka sasa nadhani yuko uholanzi. kuna kipindi alirudi bongo kwa nia ya kumtafuta na kumjua mam yake mzazi
kina mama kibao walijitokeza. Teh teh teh.
Asipopatikana mamaye bora um-adopt huyo mtoto umlee.Ni bahati hiyo....
mmh! Ndo kwanza nimegraduate juzi na maisha ndo nayaanza bt ntafuatilia sehemu alipo ili niwe napeleka msaada. Worry out.
Mmh! ndo kwanza nimegraduate juzi na maisha ndo nayaanza bt ntafuatilia sehemu alipo ili niwe napeleka msaada. Worry out.
Mh, ndo wewe hapo!? vp upo double au single!?ata sijui wapi wallah mana atakua na mushkel kidogo mana nishawaambia sikubandika picha ya mtu ni mimi binafsi lakini bado anishitumu kuwa mimi ni jini ...lakini maa mushkel hakun tabu,,,
ushauri mzurikama unaweza naomba uwe unafuatilia kujua maendeleo ya huyo mtoto,kama atapelekwa sehemu za kulelea yatima basi uombe upajue uwe unamembelea na kumpelekea chochote huwezi jua kwa nini Mungu kapenda aachwe mikononi mwako.
Bora dada kafanya hivyo kuliko angetoa mimba au angemnyonga mtoto wake kama wanavyofanya wengine.
sasa hivi cmsaidii mtu mtoto akipanda gari limejaa atasimama nae hadi akome
kama unaweza naomba uwe unafuatilia kujua maendeleo ya huyo mtoto,kama atapelekwa sehemu za kulelea yatima basi uombe upajue uwe unamembelea na kumpelekea chochote .
kama unaweza naomba uwe unafuatilia kujua maendeleo ya huyo mtoto,kama atapelekwa sehemu za kulelea yatima basi uombe upajue uwe unamembelea na kumpelekea chochote huwezi jua kwa nini Mungu kapenda aachwe mikononi mwako.
Bora dada kafanya hivyo kuliko angetoa mimba au angemnyonga mtoto wake kama wanavyofanya wengine.