Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana baharia ulivomkalia kimya umemuonesha kuwa bila yeye maisha yanaweza kusonga tu ndio maana akajirud...Kuna kademu kamoja nikakatumia sms WhatsApp njoo ghetto nikupelekee moto kakanijibu yupo busy in short nika blue tiki mzee sijajibu chochote nikauchuna usiku chenyewe sasa mbona hujanijibu!?,
Nikamuuliza nikijibu nini sasa wakati umeshanijibu upo busy !?,mara ooh basi nakuja!
Wanawake wa kiafrica inabidi utumie akili na nusu ili kuwamudu kinyume na hapo utalia kila siku
Na ukiwa na njaa then ukawa romantic basi kuna shaka na uanaume wakoSio kosa lako mkuu. Huwa nasemaga siku zote "Ukiwa na njaa huwezi kuwa romantic"
Na kibegi mgongoniKanavaa visendo vya manyoya?
Yes..... Pesa hunogesha kuwa Romantica!!!😍Huna pesa, huna exposure
😂😂😂Anataka yale maigizo ya akipumua bahati mbaya umwambie pole baibe, umeumia?
Huko kuwa romantic nadhani ni kuwa bongo lakini akili zako kuwa Roma italia
Embu tusaidie kuwa romantic ndio kunakuwaje? Isije kuwa hata mimi siko romantic ila unanivumilia tu.
Unaweza hisi anahitaji kubembelezwa, kumbe hata sio anataka hela.... wanawake sio watu wa mchezo mchezo
Bro, anamaanisha wewe ni mbahili sana!!Hello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217