Umeshindwa tu kujiongeza, wala hajamaanisha uromantic wa kwenye tamthilia.... Shida humpi dolariiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanavaa visendo vya manyoya?
Ukiona mtu amekuacha kwasabbu za kipumbav jua tu ana mahusiano mengne ambayo yana mpumbaza na hapo amepata kisingizio mara nying anaeachwa anabak single na anaeacha anakua na mahusiano yake mengne.
Ila sometimes yule anaeacha anabak single kwenye situation kama mmoja wapo ana mahusiano yake mengne na anatafuta sabbu akuache hajui aanze vp unakuta anakufnyia visa na kukukuumza sana ili tu ugive up na pale tu ikitokea yamekufka shingon ndio unaamua nimuache tu aende then utagundua hayuko affected na mamauz yako hapo.
Sasa unajikuta umeacha upo single na yy ameachwa Ila ana mahusiano mengne watu hawana huruma wala kujali moyo wa mtu
Kuna wanaojua kuwa romantic ni ile mvua ya mameseji, uko wapi, umekula nini, unafanya,nini umevaa nini....maneenah kabisa![emoji23][emoji23]ingekua hauko romantic ningekwambia...
Kila mahusiano yana namna zake za kuelezea uromantic inategemea mmezoeshana vipi, life style yenu ikoje.. unaweza fanya kitu kwa huyu akakuona uko romantic kwa mwingine ukawa kero
Hello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217
😂😂 Hakutaka shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila unaweza kuta jamaaa ana ukauzu sasa dada wa watu kaona cha kufia nini hela hapewi bado jamaaa analeta ukauzu
Anataka yale maigizo ya akipumua bahati mbaya umwambie pole baibe, umeumia?
Bro wanawake wa west wanajua bro,that's why hata washkaji wanakuwa wana reply on what wana receive kutoka kwa.Sasa haya ya humu hahahaaa daaah aisee.Wee jiulize kwa nini Masaluni kwao hawa hawaweki radio bro.Mwanamke wa hivyo ni sumu....hafai kuolewa.....tena hawa wanaofuatilia series za kifilipino, mexico n.k acha kabisa. Wanaiga mifumo ya west. Wao na wafilipino wapi na wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna wanaojua kuwa romantic ni ile mvua ya mameseji, uko wapi, umekula nini, unafanya,nini umevaa nini....maneenah kabisa!
Sijavaa kitu, nimejigeuza firigisi ngozi ndani nyama nje.
Hamuelewekagi nyinyi mara nyingi ni wanafiki. Watu tulidhani tukipata ela tutapata mapenzi ya furaha but F That nyie wenyewe hamjui mnataka nn for real.Yes..... Pesa hunogesha kuwa Romantica!!![emoji7]
Noma mkuuHamuelewekagi nyinyi mara nyingi ni wanafiki. Watu tulidhani tukipata ela tutapata mapenzi ya furaha but F That nyie wenyewe hamjui mnataka nn for real.
Nyny hamuelewekagi mpaka nyi wenyewe hamjielewi aisee. Tukiwa na ela tukianza kuwapa mahitaji mnatuita manice boy mara tunabore mnahisi mkiwa na maganster nd mtapata raha. Haya mnaenda kwa maganster mnakuta maumivu daily mnaendelea kuwang'ang'ania mkihisi nyinyi nd mnakosea maan mliona wenzenu wanawaweza hao watu. [emoji114][emoji114][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila unaweza kuta jamaaa ana ukauzu sasa dada wa watu kaona cha kufia nini hela hapewi bado jamaaa analeta ukauzu
Ukiona binadamu ambae hana huruma wala haofii chochote kile aogopi kuons meenzake anaumia muogope sana...Ukiona mtu amekuacha kwasabbu za kipumbav jua tu ana mahusiano mengne ambayo yana mpumbaza na hapo amepata kisingizio mara nying anaeachwa anabak single na anaeacha anakua na mahusiano yake mengne.
Ila sometimes yule anaeacha anabak single kwenye situation kama mmoja wapo ana mahusiano yake mengne na anatafuta sabbu akuache hajui aanze vp unakuta anakufnyia visa na kukukuumza sana ili tu ugive up na pale tu ikitokea yamekufka shingon ndio unaamua nimuache tu aende then utagundua hayuko affected na mamauz yako hapo.
Sasa unajikuta umeacha upo single na yy ameachwa Ila ana mahusiano mengne watu hawana huruma wala kujali moyo wa mtu
Na hizo filamu ndo huwafundisha dada zetu hayo mamboHayo mambo ya kuwa romantic waachieni wafilipino na tamthilia zao....mwanaume wa kiafrika na kuwa romantic wapi na wapi?
Naomba namba mkuu.. sio rahisi tufeli woteHello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217
Tafuta Mapene.... Acha Kelele.Hamuelewekagi nyinyi mara nyingi ni wanafiki. Watu tulidhani tukipata ela tutapata mapenzi ya furaha but F That nyie wenyewe hamjui mnataka nn for real.
Nyny hamuelewekagi mpaka nyi wenyewe hamjielewi aisee. Tukiwa na ela tukianza kuwapa mahitaji mnatuita manice boy mara tunabore mnahisi mkiwa na maganster nd mtapata raha. Haya mnaenda kwa maganster mnakuta maumivu daily mnaendelea kuwang'ang'ania mkihisi nyinyi nd mnakosea maan mliona wenzenu wanawaweza hao watu. [emoji114][emoji114]