Nimeachwa na mchepuko wangu baada ya yeye kuwa maarufu

Nimeachwa na mchepuko wangu baada ya yeye kuwa maarufu

Roboti Wa Nape

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2023
Posts
1,174
Reaction score
2,876
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Nilikuwa na mchepuko wangu huko Mneya. Mara nyingi nilipokuwa nikitoka Dar na kwenda Mbeya nilikuwa napunguza gundi pale kwake.

Ni Binti mzuri, mdogo na Mrembo. Dogo ana sura ya Mjomba ila kafungisha balaa mtoto yule wa Kinyaki.

Hapo katikati alishirikishwa kwenye nyimbo moja ya muimbaji wa Injili anaitwa Ama@###%@!! Wa huko mbeya. Katika Wimbo huo aliingiza sauti na kuwa Video Queen. Nilimuona akiweka vipande vya video kama status kwa muda mrefu baada ya ile vidoe kutoka. Akawa maarufu tokana na kuonekana kwenye ile video.

Juzi nimetoka zangu Dar na kwenda Mbeya kwenye mihangaiko yangu nikasema Nimcheki ili nisuuze rungu.

Binti akanichomolea na akaniambia kwa sasa mi si hadhi yake niangalie maisha mengine.

Niliumia sana kwa kuwa nilikuwa nampenda sana yule binti na nilitaka nimpandishe cheo awe mke mdogo ila ndio hivyo baada ya kuwa maarufu akaniacha.

Nimeumia sana.
 
Pole , sioni tatizo hapo zaidi ya wewe kusonga mbele ni kwamba haupendwi🤔
 
msimuone kama mjinga mwacheni apambanie ndoto zake kuhusu kufanikisha na kufail ni juu yake
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Nilikuwa na mchepuko wangu huko Mneya. Mara nyingi nilipokuwa nikitoka Dar na kwenda Mbeya nilikuwa napunguza gundi pale kwake.

Ni Binti mzuri, mdogo na Mrembo. Dogo ana sura ya Mjomba ila kafungisha balaa mtoto yule wa Kinyaki.

Hapo katikati alishirikishwa kwenye nyimbo moja ya muimbaji wa Injili anaitwa Ama@###%@!! Wa huko mbeya. Katika Wimbo huo aliingiza sauti na kuwa Video Queen. Nilimuona akiweka vipande vya video kama status kwa muda mrefu baada ya ile vidoe kutoka. Akawa maarufu tokana na kuonekana kwenye ile video.

Juzi nimetoka zangu Dar na kwenda Mbeya kwenye mihangaiko yangu nikasema Nimcheki ili nisuuze rungu.

Binti akanichomolea na akaniambia kwa sasa mi si hadhi yake niangalie maisha mengine.

Niliumia sana kwa kuwa nilikuwa nampenda sana yule binti na nilitaka nimpandishe cheo awe mke mdogo ila ndio hivyo baada ya kuwa maarufu akaniacha.

Nimeumia sana.
Pandisha hadhi yako kiuchumi usife moyo
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Nilikuwa na mchepuko wangu huko Mneya. Mara nyingi nilipokuwa nikitoka Dar na kwenda Mbeya nilikuwa napunguza gundi pale kwake.

Ni Binti mzuri, mdogo na Mrembo. Dogo ana sura ya Mjomba ila kafungisha balaa mtoto yule wa Kinyaki.

Hapo katikati alishirikishwa kwenye nyimbo moja ya muimbaji wa Injili anaitwa Ama@###%@!! Wa huko mbeya. Katika Wimbo huo aliingiza sauti na kuwa Video Queen. Nilimuona akiweka vipande vya video kama status kwa muda mrefu baada ya ile vidoe kutoka. Akawa maarufu tokana na kuonekana kwenye ile video.

Juzi nimetoka zangu Dar na kwenda Mbeya kwenye mihangaiko yangu nikasema Nimcheki ili nisuuze rungu.

Binti akanichomolea na akaniambia kwa sasa mi si hadhi yake niangalie maisha mengine.

Niliumia sana kwa kuwa nilikuwa nampenda sana yule binti na nilitaka nimpandishe cheo awe mke mdogo ila ndio hivyo baada ya kuwa maarufu akaniacha.

Nimeumia sana.
Umeshakula hasara....zile hongo zote hazijasaidia kitu
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Nilikuwa na mchepuko wangu huko Mneya. Mara nyingi nilipokuwa nikitoka Dar na kwenda Mbeya nilikuwa napunguza gundi pale kwake.

Ni Binti mzuri, mdogo na Mrembo. Dogo ana sura ya Mjomba ila kafungisha balaa mtoto yule wa Kinyaki.

Hapo katikati alishirikishwa kwenye nyimbo moja ya muimbaji wa Injili anaitwa Ama@###%@!! Wa huko mbeya. Katika Wimbo huo aliingiza sauti na kuwa Video Queen. Nilimuona akiweka vipande vya video kama status kwa muda mrefu baada ya ile vidoe kutoka. Akawa maarufu tokana na kuonekana kwenye ile video.

Juzi nimetoka zangu Dar na kwenda Mbeya kwenye mihangaiko yangu nikasema Nimcheki ili nisuuze rungu.

Binti akanichomolea na akaniambia kwa sasa mi si hadhi yake niangalie maisha mengine.

Niliumia sana kwa kuwa nilikuwa nampenda sana yule binti na nilitaka nimpandishe cheo awe mke mdogo ila ndio hivyo baada ya kuwa maarufu akaniacha.

Nimeumia sana.
Pole sana mkuu.
Sabuni haiwezi kukupiga kibuti. Ishi
 
hebu hiyo video tumuone na huyo video queen kwenye video ya kwaya!
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Nilikuwa na mchepuko wangu huko Mneya. Mara nyingi nilipokuwa nikitoka Dar na kwenda Mbeya nilikuwa napunguza gundi pale kwake.

Ni Binti mzuri, mdogo na Mrembo. Dogo ana sura ya Mjomba ila kafungisha balaa mtoto yule wa Kinyaki.

Hapo katikati alishirikishwa kwenye nyimbo moja ya muimbaji wa Injili anaitwa Ama@###%@!! Wa huko mbeya. Katika Wimbo huo aliingiza sauti na kuwa Video Queen. Nilimuona akiweka vipande vya video kama status kwa muda mrefu baada ya ile vidoe kutoka. Akawa maarufu tokana na kuonekana kwenye ile video.

Juzi nimetoka zangu Dar na kwenda Mbeya kwenye mihangaiko yangu nikasema Nimcheki ili nisuuze rungu.

Binti akanichomolea na akaniambia kwa sasa mi si hadhi yake niangalie maisha mengine.

Niliumia sana kwa kuwa nilikuwa nampenda sana yule binti na nilitaka nimpandishe cheo awe mke mdogo ila ndio hivyo baada ya kuwa maarufu akaniacha.

Nimeumia sana.
Mbona kawaida. Madem wengi tulio nao hawana tu best option zaidi yetu. Wakizipata wanaacha nyoya. Usiruhusu mwanamke wako akuzidi chochote
 
Ndivyo ilivyo
Wanaume tulio wengi Daima tunaishi na wanawake wasiotupenda.
Ila wapo na sisi Kama sehemu ya kuendesha maisha yao
Maskini Wanaume, laiti mngelijua yaliyomo mioyoni mwao!
 
Aiseeh, unalia kisa tatizo limeondoka
Wewe ni dhaifu sana
 
Back
Top Bottom