Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa😂😂Mtanyooka
Pole sanaKuna dem alikuwa ananikubali mbaya na kazi zake anafanyia jirani na napoishi nikamuaproach dem akakubali na ni pisi kali sio poa, mwanzo alikuwa anapenda sana kuniita ofisini kila saa mara njoo nikuone usipoenda bac ananuna na vile vile anajua madem wa hapa home wananipenda mno nikaona niwe namridhisha nikawa naenda mara kwa mara ila kosa nililofanya nikumuonyesha kuwa nampenda sana asee huwezi amini dem kabadilika ghafla mpaka sasa siamini kama huyu dem ndio alikuwa ananilisha chakula napokuwa ofisini kwake.
Basi juzi kati huyo dem nilimlazimisha sana kumla denda akakataa nikavunga baadae akakubali ila tulivoenda gheto nikaanza kumshika kama dakika 5hv akakataa nikaona ujinga nikaanza kuichezea mbunye bac dem akaanza kutoa miguno na vilio vya mahaba, baadae akawaka akanitoa mikono kwa nguvu akaniambia nitoke nje nikatoka ila kwa mbinde kesho yake nampigia cm nakuta dem kaniweka black list😂😂asubuhi nikamfata nikamuomba msamaha akasema hana tatzo nikaamuuliza so why umeniweka blacklist akasema ataki kuongea namimi nikambembeleza akakataa usiku wake nkakutana nae nkamuomba tena msamaha akanitoa blacklist ila akasema mahusiano yangu na yake yameisha.
Nikaendelea kumbembeleza akaniambia numuache apumzike kesho atanipa jibu asubuhi nikaanza nae tena nikampigia cm akasema bado kalala akiamka atanipigia akaamka na akunipigia nikampigia kama mara 8 akupokea baadea kwenda kumpigia tena nakuta nishawekwa blacklist kwa mara nyingine😁
Baadae akanitext kwa kifupi kwamba hatuwezi kuendelea hakika nimeumia sana maana mtoto si haba ni mzuri balaa na sijamgonga na pia kashakula baadhi ya visenti vyangu je mnahisi tatizo la huyu manzi ni nini? Na ni njia ipi sahihi niitumie kumrudisha huyu manzi kundini. Maana kila napomuona nazidi kuumia. Mpaka sasa sijajua nilikuosea wapi
Unamwitaje Mpenzi wako wakati hata kumgonga hukumgonga..!
Wewe haujampelekea moto huyo ndio maana unayumba.
na mimi nisije nikaachwa na NEWS YA NFP, AISEE
Ipokee huzuni kama furaha, sio wote unaowapenda ni lazima uwe nao.
Sema ni pisi kali balaa
Shukrani sana kwa kutupa taarifa.
Kwanza pole sana ila pia huu ni uzembe kazini kama mvulana maana wanaume tusha kubaliana kwanza tafta hela mbili weka mazingira ya gheto kama kuna mwanaume sio mvulana. Wewe ni mvulana nani kakuambia kuitwa kila saa ndio mapenzi? pochi nene ndio habari ya mujini, weka geto safi hata manzi akija ana vutiwa, wewe mwenyewe jijali kwanza lazima manzia ata vutiwa na wewe. sasa utakuta nje kweli una pendeza manzi umekuja mpeleka geto ana kutana na sufuria mpka mlangoni shuka hujafua nguo umeweka kwenye msumari nyuma ya mlango, chini kuna michanga kama unapiga plaster hiyo yamu anatoa wapi zaidi ya kinyaa tu.
Narudia tena vijana wenzangu jipendeni kwanza manzi atakuja mwenyewe tu kama mbuzi kwa chatu.
Mbona unajiteteaMoood wamezingua sana mimi sijaachwa kama kichwa cha habari kinavyosema
Kijana mapenzi yameanza kukutesa zamani sana usipokua makini yatakutoa roho.....fungua pm nkutumie namba ya mganga konki uwanyooshe.Moood wamezingua sana mimi sijaachwa kama kichwa cha habari kinavyosema