Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
Ukiswaki ukumbuke kusugua na ulimi wako pia..
Ukiswaki ukumbuke kusugua na ulimi wako pia..
Nasugua sana mkuu
Na juu ya ulimi pia. Apige mswaki asubuhi na usiku,ikiwezekana na mchana. afute mouth wash awe anasukutua. Kumuona dentist ni muhimu pia maana akipata msichana mwingine atamkimbia
Basi nenda kapime cancer ya koo haraka..
Nasugua sana mkuu
Usisahau kumchangua Lowasa matibabu yatakuwa ni bure!
Ushawahi zama chumvini?
POle ..pole kwa yote..Mkuu harufu hiyo sii ya mdomo... hiyo harufu inatokea tumboni!! kizibo cha pipe la utumbo lipo lose/open !! nenda ukajitibu!!Juu ya ulimi wapi mkuu? Mouth wash nishatumia hadi za Ufaransa
Juu ya ulimi wapi mkuu? Mouth wash nishatumia hadi za Ufaransa
POle ..pole kwa yote..Mkuu harufu hiyo sii ya mdomo... hiyo harufu inatokea tumboni!! kizibo cha pipe la utumbo lipo lose/open !! nenda ukajitibu!!
Good luck
Sorry ni mdomoni kwa juu.,kunywa maji mengi. Nenda hospitali pia....