Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

Nashukuru sana mkuu kwa kunitia moyo.

Ujinga wakati wa kwenda tu, sio wakati wa kurudi.
🫑🫑🫑 make sure wewe ndiyo unapendwa kwenye mahusiano yatakayo fuata.Wewe ndiye provider,wewe ndiye unaye amua kuoa tena sio kinyonge. A woman should be begging you to marry her,hii Mungu amekuepushia zahama maana wewe ndiye ulikua the weak person kwenye mahusiano.

Mwalimu inaonekana kuna mwamba ambaye yeye anampenda sana na amememtingisha kwamba kuna stranger (wewe) anataka kwenda kutoa mahari. Mtu katingishika kweli mpaka imebidi uambiwe vuta handbrake wakati anayependwa akisubiriwa kutimiza ahadi yake . Hii inaitwa multi-dating,ungepewa ruhusa ya kwenda kutoa posa kama plan A yake ingefeli.
 
Ewaaa si unajua tunajifunza kutokana na makosa....kwahyo mimi niliamua kufanya makosa mengi ili nijifunze vizuri zaidiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kwa stage uliyofikia no more news ..
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Yaani kila litokealo wee hustuki.. don't care
 
Umemjibu mwenye mada?? Ungemtag mie wakike
 
Niliona niliona....
Me mwenyewe nilipewa likizo ya miezi tena kwa lazima... πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

ajambo lakini... cha utunduπŸ€—
Bora hata walifunga walaii hapa mwisho mwisho palichafuka balaaa!
Mie nipo vyedi sana anko ake!
 
Kwa stage uliyofikia no more news ..
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Yaani kila litokealo wee hustuki.. don't care
Yah nakuwa naelewa ni fix vipi.....kila tatizo nakuwa tayari nina solutio😎😎😎
kutokana na kuwa mkufunzi kwenye hii sekta wanangu wakanitunuku jina hili adhimu kabisa la AN ALPHA MALE
 
Bora hata walifunga walaii hapa mwisho mwisho palichafuka balaaa!
Mie nipo vyedi sana anko ake!
Unaona eeeeh..
Sasa sisi hiyo kasheshe ndo maisha yetu kila siku huku mnapo waleta πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Unategemea takua serious na life kweli hapo...πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…