Mwanaume akishajipata hawezi kuteswa na upwiru, kamata nchinje ni nyingi mno. Sema akiwa ka fall kwa mtoto flani ndio inaumizaga.Kuna vitu vya kumuumiza mwanaume sio mbususu aseee ..Yani upwiru umetese wakati now day ni kamata dagaa piga ..awe na moyo wa kiume bana huo ni uzaifu
Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Hio ni exit Plan isio na maumivu.Huna haja ya kuwaza mabaya yake ili kujifariji huo ni udhaufu.
Jikeep busy na mambo yako tu.
Kumbe shangazi mkarimu namna hio,🤣Niambie utaingia lini,basi gani,la saa ngapi utanikuta msamvu nakusubiri nikupokee.
Nimefurahi kuona hii mbinu yangu ya kivita kuna watu mnaizingatia😀 inaokoa jahazi sana.Kabisa tumia hayo na utasahau na kujenga negativity juu yake and as days goes...utampotezea tu!
Alifanya kitendo gani kiovu namna hio?Scenario yako inafanana na yangu kidogo, mi nilimuacha mwanamke ninae mpenda nikiwa bado nampenda kwakua alifanya kosa moja tu ambalo nimejiwekea misingi sitamsamehe yoyote akifanya kosa hilo
Nikamwambia aniweke kwenye list ya watu wake waliokufa na hataniona tena,
kadri alivyokua anazidi kuniomba msamaha ndo jinsi nilivyokua nazidi kumchukia kila neno lake alilosema na yale aliyowahi kuyasema yote nilikua naona ni uongo sikumuamini tena na hata ningeishi nae nisingemuamini maisha yake yote
Alifikiri labda nilikua natania tu au ilikua ni hasira ila huo ndo msimamo wangu licha ya kuwa kweli nilimpenda lakin nimemuacha for my peace, dignity and survival
Mwanzo niliumia sana lakin nimejilazimisha hadi imefikia hatua sina hisia za upendo wowote kwake wala simchukii ila sitamani hata kumuona,
Kwa sasa sina hisia za kumpenda mwanamke yoyote nmekua kama chuma inayotembea.
Ukiona haeleweki respect yourself enough to walk away.Mwanamke unavyozidi kumthamini na kumpenda ndivo anavyozidi kukuona wa kawaida.
Hii ni fezea yani 🤣Sikutegemea utatumia hivo Ila nisamehe bure bro maana demu wako ninaye getto na anakatika vibaya mno utazani umeme wa tanesco [emoji2957]
Kumbe tupo wengi, japo mimi ni tofauti kidogo.
Nina maumivu nimezaa na binti mmoja, mtoto bado ana umri wa miezi 5 juzi ananiambia nikamchukue anataka kuolewa. Kumbuka nina mke ndani hajui chochote na akijua ndoa inayumba. Maumivu x2, kwanza nampenda binti mpaka nikamzalisha. Pili hilo la mtoto sielewi cha kufanya, na anadai nisipoenda kumchukua atamleta mwenyewe kwangu
Huyo mtt mwehu kweli aisee.Anajichekelesha tu mkuu..
Asubuhi hii kapiga tena ila sijapokea coz nipo Mahakamani
Nimekuwa kwenye mahusiano serious kwa takribani mwaka na nusu na Mwl mmoja wa Shule ya msingi.
Mndewa niache bwana,we mwenyewe unajua mi shangazi Yako ni Auntie....tofautisha shangazi na auntie 🤣🤣🤣Kumbe shangazi mkarimu namna hio,🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Shangazi ujipende sio ukae kiboya. Soko lenu lipo msivunjike moyo japo Under 23 wanasumbua🤣🤣🤣🤣Waambie ushangazi mwisho mikese
Hicho ndio kisangaKinachouma hapa ni hela na muda uliowekeza. Pia utawaambia nini wadau
Faili lako la umalaya limevuja.Asante sana mkuu. Ila naumia sana. Havielezeki.
Haaa haaa umenikumbusha A. Alianza¹ kuniletea jeuri ya kunibania utamu. Eti bado mapema. Bado mapema wakati hela zangu unakula ( mbona huoni mapema). Nikamchana live,mimi siwezi kuwa nakupa hela halafu nyege anapunguza mwingine. Kakanikaushia kama mwezi hivi. Baada ya hapo kananiita kenyewe nije kula mzigo kila weekend. Mwanamke asikuendeshenakuapia atarudi kwaako na kkusema anakupenda tupo aapa ata mwezi hautaisha sasa jichanganye umrudie utaliaa kkwenye iyo ndoa hadi useme poo uyo ana mtu wake kuwa nawe aliisi kama kakoseaa njia, tafuta kipoozeo cha kutuliza machungu uyoo usimtafute lazima arudi kwako akirudi wee chakata mbususu usijitie baba uruma kumuowa
Kasharudi mkuu. Kanipigia jana usiku anajichekeleshaa..
Akataka aje kwangu nikamwambia sipo home..
Asubuhi hii tena kapiga ila sijapokea coz nipo Mahakamani.
Ndiwooo mkuu!!Hii formula kumbe unaijua eeh🤣