Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

Huyu hataki kuolewa anataka kua mke mdogo
 
huu uzi ulikuja kimasihara cha ajabu umegonga 500+ comments

Kwa sababu ni mambo yanayo mgusa kila mtu. Wachache sana walioko kwenye mapenzi yaliyo nyooooka. Wengi wetu tunapitia haya yaliyo msibu jamaa alafu kabla ya kujua tatizo na kupona tunajikuta tumesha ingia kwenye uhusiano mwingi ili kupoza machungu matokeo yake ni kuumiza wengine.
 
Piga moyo konde na u-move on. Nilipitia changamoto kama yako miaka kadhaa ilopita. Inawezekana huyo alikuwa na mtu wake, na wewe ukawa second choice. Mwenzio aliposikia umeahirisha kupeleka posa, akakuwahi.

Niliwahi kupoteza miaka 3+ kwa mwanamke ambaye kumbe hakuwa na plan na mie huku nilikuwa namuandaa kuwa mke. Alikataa ndoa mara 3. Nika move on na kupata mwingine na kuoa. Mapenzi inayopewa ninajuta kwa nini nilipoteza miaka 3+ kwa 'umbwa' yule.
 

Umbwa tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pole sana mkuu. Jogoo hafi kwa utitiri. Jipe muda kwanza utulize akili. Najua atakutafuta ila usithubutu kujaribu kumfikiria tena. Funga huo ukurasa
Wanawake huwa ni mafala sana, yani anaweza akakuacha muda ambao hautarajii halafu ukiwa na msimamo na ujasiri usibabaike na maamuzi yake baada ya muda anakutafuta,, na ukisema umrudie tena hamkai muda mrefu mnakosana tena vibaya vibaya
 
Kuna madini mengi sana hapa πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…