Yeye anaenepa Wewe unakonda, Kwa Mawazooo🤣Kuachwa. Kuachwa .Kuachwa ni shughuli pevu
Achana na utamu, alikuwa ni mwanamke aliyekidhi vigezo vyangu vyote mkuu.Mpaka unalia basi alikua na utam wa kitofaut
Stands for grading from A-F, (Failure), remember in your story you have told us that you have been a play boy that is going around with many ladies'F' stands for?
You have a point.Huyo rafiki yake unamlaumu bure.
Wa kumlaumu ni huyo uliyeingia naye makubaliano sababu si ni mtu mzima mwenye akili timamu.
Kama alikubali kushikiwa akili na mashost basi hajielewi.
Hawa wanasikizana na shetan tu ndo mshirika wao toka EdenSijasahau bhana ulileta Uzi jinsi unavyomgegeda mwanamke wako mpaka anafurahi, sasa naona umeandikwa umeachwa, aisee wanawake....
Sijui wanataka nini?
Sawa. Good for you.Siishi hivi Mimi
Wanawake ni changamoto mkuu. Na ndo huyu aliyenifanyia hivi vitimbi.Sijasahau bhana ulileta Uzi jinsi unavyomgegeda mwanamke wako mpaka anafurahi, sasa naona umeandikwa umeachwa, aisee wanawake....
Sijui wanataka nini?
Aisee !!Yeye anaenepa Wewe unakonda, Kwa Mawazooo[emoji1787]
Mapenzi ni kama mvua inaponyesha...
Muda wowote inaweza kwishaaaaaa...
Pole sana Mkuu.Ni kweli, nilimpenda kwa moyo wangu wote mkuu.
Lakini u-playboy nilishaacha mkuu.Stands for grading from A-F, (Failure), remember in your story you have told us that you have been a play boy that is going around with many ladies
We acha tu mkuu..inauma.Hawa wanasikizana na shetan tu ndo mshirika wao toka Eden
Sawa mkuu nitazingatia ushauri wako.Pole sana Mkuu.
Ila Next time usifanye hivyo, watakuua bado Kijana mdogo hawa viumbe.
Labda ulipenda sana kuliko yeye alivokupenda.Wanawake ni changamoto mkuu. Na ndo huyu aliyenifanyia hivi vitimbi.
Inavyoonekana huyu kashafanya uamuzi mkuu.Siku 1 tu mkuu ndio unawaza hivyo.
Hatujawahi, hali ilikuwa ni shwari kabisa, upepo ukabadilika ghafla.na hamjawahi kugombana?
Sawa kam unampenda sana jaribu kumtumia mshenga kwaajili ya maridhiano akikataa achana nae unasafari ndefu atakusunbuaLakini u-playboy nilishaacha mkuu.